Tanzania: Beyond sectarian interests
A PAPER BY PROF. HAROUB OTHMAN
By Haroub Othman
No-one knows whether the 1964 union between Zanzibar and Tanganyika was dictated by cold war considerations first, with pan-African ideals of unity playing second fiddle to ideology and personal survival, writes Haroub Othman. But what is clear, Othman argues, is that despite Tanzania’s controversial history, the union brought peace and stability to the region, in contrast with the secessionism and violence seen elsewhere. While corrective measures – supported by the people – are required to ensure that it is fit for purpose, the union is a better option than breaking into a federal structure with Kenya and Uganda, says Othman.
Since the 1920s the countries of East Africa, namely Kenya, Tanganyika, Uganda and Zanzibar, had developed common services and joint institutions. Matters such as posts and telecommunications, harbours, railways and currency were run jointly. There was also a body to coordinate the development of Kiswahili. This, no doubt, was easy in view of the fact that all the four countries were neighbours and under one colonial power. The white settlers in Kenya had at one time pressed the British government for a federation of the East African countries on the lines of that of Central Africa. But people in Tanganyika and Uganda feared that if that was to happen it would throw their countries into the hands of white supremacists in Kenya, in the same way that the peoples of Central Africa found themselves under the white supremacists of Southern Rhodesia at the time of the Central African Federation. And so this idea was opposed at the time.
But as the countries were approaching independence and because of the close cooperation among the nationalist organisations, the idea of federation re-emerged. Nyerere, in a statement made in Addis Ababa when Tanganyika’s independence was imminent, said that he was prepared to delay his country’s independence if the four countries of East Africa could come to independence at the same time and form a federation. But with independence each country retreated into its own national shell, and what was agreed was the formation of the East African Common Services Organisation that later in December 1967 was transformed into the East African Community.
When, therefore on 26 April, 1964, the People’s Republic of Zanzibar and the Republic of Tanganyika announced that they had merged to form a union, the international community felt that Zanzibar and Tanganyika had succeeded where the four East African countries together had failed. But was it the ideals of Pan-Africanism that brought Zanzibar and Tanganyika together? Was the union the result of an African initiative or was it propelled by cold war rivalry? The circumstances in which the union was formed raised a lot of questions, many of which are still unanswered, and some have been at the centre of continuing debates and controversies in Tanzania in the last twenty years. Were the fears of ZNP (Zanzibar Nationalist Party) that Zanzibar would be ‘taken over’ by Tanganyika had been proven true? In later years, the union was to haunt the Zanzibar politicians for a long time, with each of them playing the ‘union card’ either for legitimacy on the mainland or for support at home.
Nyerere stated that he casually proposed the idea of the union to Karume when the latter visited him to discuss the fate of John Okello. According to Nyerere, Karume immediately agreed to the idea and suggested that Nyerere should be the president of such a union. In a New Year message to the nation on 2 January 1965, Nyerere implied that even if the ASP (Afro-Shirazi Party) had come into power through constitutional means and not as a result of a revolution, the union would still have taken place. But Amrit Wilson’s research has revealed that there was a very strong Western pressure, especially from the United States, for the Zanzibar revolution to be contained because it was felt that it held the threat of the spread of communism in the East African region. The Untied States, Britain and the then West Germany, which Tanganyika was heavily dependent on at the time, viewed the revolutionary government in Zanzibar as either a surrogate of the communist powers or dancing to their tune. The international press had already started to characterise Zanzibar as the ‘Cuba of Africa’, though to be fair to Duggan, he had referred to Zanzibar as ‘Tanganyika’s Cuba’ far back in July 1963 when he had interviewed Nyerere in Washington during the latter’s state visit to the US.
In a cable message to US embassies in Dar es Salaam, Nairobi and Kampala, the US Secretary of State Dean Rusk instructed his diplomats to urge Nyerere, Kenyatta and Obote to explain to Karume the dangers involved in his dependence on Babu and:
‘The danger Babu represents… to the security of Zanzibar and East Africa generally… they should recognise here that the big problem is that Karume himself has great confidence in and dependence on Babu… also that Nyerere has said that Karume needs Babu who, despite his background, can and must be worked with. Kenyatta and Joseph Murumbi on the other hand appear to regard Babu as undesirable and the chief threat to Karume. Would it be useful to raise with Nyerere, despite his previous objection, the idea of a Zanzibar-Tanganyika Federation as a possible way of strengthening Karume and reducing Babu’s influence? Such action at this time may also help Nyerere’s own position.’
In an interview with Amrit Wilson in 1986, Frank Carlucci, the US consul in Zanzibar at the time of the union who was later thrown out of Zanzibar because of CIA (Central Intelligence Agency) activities (and who later rose to become the director of CIA and US secretary of state for defence), confessed that there was United States’ pressure on Nyerere.
Susan Crouch in her book Western Responses to Tanzanian Socialism 1967-1983 reveals that:
‘To this end the American Central Intelligence Agency was active in trying to create the conditions for union, fanning antagonisms among Zanzibar’s revolutionary leaders, and creating a fear of Zanzibar as a communist threat among East African leaders.’
Was the union then, as is indicated in US state department papers, dictated by cold war considerations first and the questions of pan-African ideals of unity were secondary to ideological factors and questions of personal survival?
It has also been suggested that Karume wanted a union with Tanganyika as a means of warding off his marxist and left wing colleagues. What seems to be the case is that after the electoral defeat of July 1963, Karume’s leadership within the ASP parliamentary group was shaky. There was a schism in it, with Karume being challenged by Othman Shariff, and some of the party’s MPs calling for a government of national unity that would bring together in government all the political parties in parliament. After the revolution, Umma Party radical elements in the government (Babu, Khamis Abdalla Ameir, Ali Sultan Issa, Ali Mahfoudh, Salim Rashid, Badawi Qullatein, etc) were forging links with the ASP leftists (Abdallah Kassim Hanga. Abdulazizi Ali Twala, Hassan Nassor Moyo, etc.), and this might have scared Karume and other moderate elements within the regime. At the same time, the radical way in which the revolution was surging ahead might have alarmed the regime in Dar es Salaam. It should not be forgotten that within days of the revolution in Zanzibar, an army mutiny took place in Tanganyika (later repeated in Kenya and Uganda); and even though we know now that there was no link between the revolution and those mutinies, it was difficult to see it that way at the time.
As a result of the army mutiny in Dar es Salaam, Tabora and Nachingwea, there was virtually no government in Tanganyika for three days, anarchy prevailed, and Nyerere was forced to request British military intervention to bring the country back to normalcy.
The West, particularly the Untied States, perceived developments in Zanzibar in the context of East-West rivalry, and given the leftist credentials of the Umma Party and some of the ASP leaders that were prominent in the revolutionary council, it was assumed that a Cuba-type situation was evolving. The best way of averting it, short of direct military intervention a la Playa Giron (though this was thought of and preparations made), was to try an ‘African initiative’. And it worked.
QUESTIONS OF LEGITIMACY
Many questions continued to be raised regarding the legal basis of the union: Whether the two presidents on their own had the powers to sign such a union agreement; why the Zanzibar’s attorney-general, as the principal legal advisor to the government, was not consulted; why there was no referendum; and whether in joining such a union, Zanzibar was not in fact ‘swallowed’ and ‘annexed’ by Tanganyika.
Discussions on the union were conducted very secretively. From the archival materials and the statements of those who were in the ‘corridors of power’ at the time, it would appear that not many people in the Tanganyika government or the Zanzibar Revolutionary Council knew what was happening. Apart from Nyerere and Karume, the only other people who might have been privy to those discussions were Rashidi Kawawa, Oscar Kambona, Job Lusinde, Abdallah Kassim Hanga, Abdul-Aziz Ali Twala and Salim Rashidi.
When these discussions were at an advanced stage, Nyerere is said to have called in his attorney-general at the time, British expert Roland Brown, and asked him to draft a union agreement without anybody knowing. In the case of Zanzibar, the attorney-general, Wolf Dourado, is said to have been sent on a one-week ‘leave’ and instead a Ugandan lawyer, Dan Nabudere (according to his own account which was corroborated by Babu), was brought in to advise Karume on the draft submitted by Tanganyika. Both Brown and Nabudere were present in the Karume-Nyerere discussions. One can speculate that one reason why Dourado was not involved was because he was ‘inherited’ from the previous ZNP/ZPPP (Zanzibar Nationalist Party-Zanzibar and Pemba People's Party) regime and the revolutionary government was hesitant to involve him in such a sensitive matter.
Under both the 1962 Republic of Tanganyika constitution and the Zanzibar presidential decree No.5 quoted above, the two presidents had the powers to enter into international agreements on behalf of their governments. What is also important is that the union agreement was ratified by both the Tanganyika parliament and the Zanzibar Revolutionary Council. Contrary to what some writers have said, the Nyalali Commission was satisfied that the Revolutionary Council met to ratify the Articles of Union. Both Abdulrahman Babu and Khamis Abdallah Ameir, the two former Umma party leaders who were in the Revolutionary Council at the time, have confirmed that the matter was discussed in the council, and while there were reservations on the part of some members, these were ‘quashed’ by Abdallah Kassim Hanga who made an emotional intervention to support the union.
Once the Articles of Union had been ratified by the two legislative bodies in Tanganyika and Zanzibar, there was no further requirement in law to make them enforceable. The question of referendum would not have arisen because under the Commonwealth legal tradition, in which the two countries were brought up, the notion of a referendum was unknown. The referendum was introduced as a legal requirement under British law in the 1970s during the heated debate in the United Kingdom on the question of its entry into the European Economic Community. To have also expected the Zanzibar revolutionary government to call a referendum on the union, four months after it came into power through unconstitutional means, was like expecting the French revolutionaries of 1789 to have invited King Louis XVI for dinner after they had overthrown him. Should ASP have conducted a referendum to ask Zanzibaris whether or not to stage a revolution? In law, therefore, the Union Agreement, as both Prof Issa Shivji and Dr Kabudi have pointed out, is valid.
ARTICLES OF UNION: 1 + 1 = 3
The Union Agreement, signed by Karume and Nyerere in Zanzibar on 22 April 1964, is known as the Articles of Union. When this agreement was announced the following day, many people inside the two countries, and outside too, were taken by surprise. The strong feeling was that the West had won in their intention to containing the Zanzibar revolution; in fact there were military preparations by both Britain and the United States in case there was a violent reaction in Zanzibar against the union.
What the Tanganyika leadership wanted at the time was to play down the whole event. In a cable message of 23 April 1964 to the US secretary of state, the US ambassador in Dar es Salaam, William Leonhart, informed:
‘Mbwambo, chief protocol, has just telephoned a personal request… that, to the maximum extent, any US public statements on Tangovernment –Zanzibar union be avoided. Situation over the next few days in Zanzibar could be very critical and both the Soviet and Chinese reaction is undetermined.’
In an address later to the National Assembly requesting the ratification of the Articles of Union, Nyerere insisted that the move was inspired by the ideals for an African unity. ‘Unity in our continent does not have to come via Moscow or Washington’, he insisted.
The Articles of Union have been given different interpretations and characterised as federal, quasi-federal, an interim arrangement towards one government, etc. Some have seen the union as similar to the relationship between the United Kingdom and Northern Ireland.
Those who were close to the scene at the time also differ as to what type of relationship it is. The US ambassador in Dar es Salaam, in a cable message to his government on 22 April 1964, the day the Articles of Union were signed by Karume and Nyerere, stated:
‘Like the relationship between Northern Ireland and Britain, the union of Zanzibar and Tanganyika gave the island limited regional administrative autonomy… but ensured overall power… was held by the centre at Dar es Salaam’. But Frank Calucci, reporting from Zanzibar the next day, said that Karume was ‘still under the impression that he is agreeing to a federation of two autonomous states, not a centralised union envisaged under the present articles’. Attwood, the U.S. Ambassador in Kenya at the time, says he was informed by Dustan Omari, Nyerere’s permanent secretary then, ‘that the major power would rest in the centre… but that Zanzibar would retain its own internal governmental affairs’.
While I have difficulty in accepting some of the assertions of some of the writers on the character of the union for reasons that I will advance later, I would only want to agree with the notion that the Articles of Union are the Grundnorm, the fundamental law of the United Republic, on which the Constitutions of Tanzania and Zanzibar, and other laws, have to be based and from which they derive their legitimacy. Like any supreme law in any other legal system, no other law or constitutional act can be in conflict with it.
Articles of Union provide for matters that would be under the union arrangement. From the original 11 items in 1964, the list has now expanded to 23. Some people question the validity of such an expansion, though one must admit that there was nothing that was added into the list unconstitutionally. The Articles of Union also provide for the existence of two governments: One for the whole United Republic for all union matters and for non-union matters in Tanganyika, which, under the 1977 Union Constitution is referred to as Tanzania mainland, and one for Zanzibar in all matters that are non-Union. According to Nyerere, Karume wanted a total union, but he (Nyerere) cautioned against it, saying that such a move might be construed by Zanzibaris and others as meaning that Zanzibar had been swallowed up, annexed, incorporated into or taken over by Tanganyika. He insisted that Zanzibar’s identity must be maintained.
There is no way one can construe the ‘Article of Union’ as a basis for a federal set-up. Nor can they be seen as an interim arrangement towards a one government. They intended to create a single state with two authorities, but with one of those authorities having a limited geographical jurisdiction. The intention was to retain the identity of the smaller unit. By this event, Tanganyika has not been lost; in fact it has been enlarged. Even if it is accepted that the union was a Western conspiracy against the Zanzibar revolution, the effect of the intention was to deny Zanzibar the capacity to be an international actor, not to interfere with what was happening inside the country. To be able to change the internal course of events would have entailed changing the regime. What might have confounded some of the law experts looking at the relationship between Zanzibar and mainland Tanzania was the fact that no such example existed in the Anglo-Saxon legal system. The closest they could think of then was that of the United Kingdom and Northern Ireland.
CONSOLIDATING THE UNION: POPULAR APPROVAL
At the time of the Union Zanzibar and Tanganyika were ruled by different political parties, ASP and TANU respectively. The Articles of Union did not require the formation of a single political party for the whole United Republic. Thus in the period 1964-1977 each party operated within its own geographical area, though at the approach of every general election, the two parties held a joint congress where they nominated a join presidential candidate for the elections. Only in 1977, after a national survey of members of both parties, did the two parties merge to form the Chama cha Mapinduzi (CCM) with authority over the whole country. But why did Zanzibaris agree to such a merger? Nyerere had always expressed surprise when recalling the radiant faces he saw and the jovial mood of the Zanzibaris the day CCM was proclaimed at the Amaan stadium in Zanzibar. The fact is that Zanzibaris were celebrating not only the birth of CCM but also the demise of ASP. By that time the general feeling in the islands was that the ASP had outlived its usefulness. The revolution which it had championed had stooped so low as to devour its own sons: Most of the leaders were busy amassing wealth; prison and death were the only options open to political dissent; and political thuggery was a virtue.
One matter that was added in 1984 to the list of union items was that of national security. This happened at the time when Ali Hassan Mwinyi was president and Seif Shariff Hamad the chief minister of Zanzibar in 1984-85, commonly known as the Third Phase government. Not having much confidence in the security personnel they inherited, who might have had personal allegiance to Jumbe and Seif Bakari, the new administration sought the extension of the National Security Act of the mainland to Zanzibar. In that case it was possible to transfer the security personnel in Zanzibar to the mainland and vice versa.
So from the above one can see the following: First, Zanzibaris wanted a merger of the parties, and for the united party to have authority all over the country, in the hope that it would rescue them from a regime that was no longer able to inspire confidence and instil enthusiasm; and second, a ‘consolidation’ of the union in this regard was necessary for one faction of the leadership to ward off any possible challenge by the other.
The long-term effect of the parties’ merger was to have matters that were entirely within Zanzibar’s jurisdiction, and that were not union matters, decided by a pan-territorial political party where Zanzibari representation was not decisive. This became clear in 1984 when Aboud Jumbe was forced to resign as Zanzibar president: It was the party’s NEC which appointed Ali Hassan Mwinyi as an interim president and later nominated him for election as the president of Zanzibar. Since NEC’s Zanzibari membership is no more than a third of the total, this means therefore that a Zanzibar president could be chosen by a forum, which is predominantly non-Zanzibari. And this was further evidenced with the nomination by CCM’s NEC of the present president of Zanzibar.
A number of other measures were taken to consolidate the union, particularly in the constitutional realm. A permanent constitution was put in place in 1977 instead of an interim one that had been in existence since 1964.
ZANZIBAR’S IDENTITY IN THE UNION
In the Articles of Union, Zanzibar is allowed to retain its autonomy and pursue its own policies in all matters other than those stipulated as Union matters. In this case, the power to decide is left to the Zanzibar organs such as the house of representatives, the revolutionary council and the president of Zanzibar and chairman of the revolutionary council. The union constitution stipulates that constitutional amendments require the approval of two-thirds of Zanzibaris sitting in the union parliament and the same proportion of mainlanders.
In order to avoid a clash in the legislative functions of the two sides of the union, it has been provided that if the house of representatives enacts any law which should be under the jurisdiction of the union parliament that law will be null and void, and also if the union parliament enacts a law on any matter under the jurisdiction of the house of representatives that law will be null and void.
The constitution also provides for effective Zanzibari representation in the union parliament. It also guarantees a separate judiciary system for Zanzibar which has jurisdiction over Zanzibar alone. Even though the court of appeal of the United Republic is a union organ, it has no power to decide on a case involving a dispute between the union government and the Zanzibar revolutionary government.
However one might view the circumstances that made Zanzibar merge with Tanganyika in 1964, the fact of the matter is that Zanzibar was not annexed or forcefully incorporated. It agreed on the union out of its own free will and as a result of decisions made by its own organs. The argument that within the union Tanganyika has lost its identity has no basis. If anything it has enlarged its territory. It is Zanzibar’s autonomy and identity that must be maintained lest, as Nyerere himself has pointed out several times, an impression is created that the larger and more populous Tanganyika has swallowed Zanzibar. Such a situation is not new even in the most centralised states. In China, despite the fact that the country has a centralised authority and no federal traces of any kind, yet because of certain historical, political or cultural reasons, certain areas are conferred autonomy, and are constitutionally given the status of autonomous regions. As will be pointed out later there are entities in present-day Europe that enjoy full autonomy within one state. To entertain the thought that the Articles of Union are a temporary arrangement, and that ultimately the intention should be to create one government is to manifest ‘big brother chauvinism’
DEBATES ON THE UNION: A POLLUTED ATMOSPHERE
In 1983/84 and 1990/92 extensive political and constitutional debates took place in the country that deeply probed the question of the union. The debates of 1983/84 resulted in major amendments to the 1977 union constitution and the formulation of a new Zanzibar constitution in 1984. But they also resulted in the forced resignation of Aboud Jumbe from all his state and party positions, the sacking of a Zanzibar chief minister and the serious warning given by the ruling party to a number of prominent Zanzibar figures. The debates of the 1990/92 period resulted in the Nyalali Commission making major recommendations on the structure of the Union. In between the two periods also another Zanzibar chief minister was sacked, and several leading Zanzibar politicians were dismissed form the ruling party.
As stated above, the question of Zanzibar being ‘sold’ to the mainland was an issue in pre-revolutionary Zanzibar. And if one remembers that the political parties were almost evenly divided, then one can assume that almost half of the Zanzibar population was already biased against the mainland even before the union. The post-revolution politics in the islands did not help matters much. Karume went into a union to save himself from his marxist and left-wing colleagues; and since Jumbe was not considered to be the ‘heir apparent’ before Karume’s assassination in 1972, he was not thought of as the natural successor when he took over. It has been speculated that the revolutionary council had Colonel Seif Bakari in mind, but Nyerere advised that since Karume was killed by an army officer, Seif Bakari taking over might be construed as a military coup. Jumbe, feeling that he had not much support within the revolutionary council, depended very much on Nyerere’s and mainland’s support. It is no wonder then that it was during his presidency that much of the consolidation of the union took place, with the most items added to the union list. It is significant too that the merger of the parties took place then. But this dependency on the mainland was costing him much popular support at home. Either as a way of outflanking his opponents or because of genuine problems he found in the union (after all he was for a long time a minister for union affairs before he became president of Zanzibar), he first raised the question of restructuring the union in a speech seven years before the 1983/84 debates.
Other politicians in Zanzibar too have used the mainland as a trump card either to crush their opponents or to climb the political ladder. Seif Shariff Hamad, Khatib Hassan, Shaaban Mloo and others accused Jumbe in 1984 of planning to break up the union, and thus forced Jumbe to resign from his political posts then. They in turn faced the same accusation from their opponents in 1988 and were dismissed from the party.
The issues that were raised in both the 1983/84 and 1990/92 debates centred on the following:
1. Whether the Articles of Union of 1964 provided for a federation, that is three governments (one of Tanganyika, the other of Zanzibar, and a third a federal one) or only two governments as presently existing;
2. As the union government is also the government for the mainland in non-union matters, does this not give the impression that mainland is the union?
3. Does Zanzibar get a fair share in the distribution of benefits coming form the union?
4. Is Zanzibar well represented in the diplomatic service?
5. Does it get a fair share of foreign aid coming to Tanzania?
6. Since the people of Zanzibar were not consulted at the time of the formation of the union, should there not be a referendum now to ascertain whether the people wanted the union or not?
Most of these questions, as can be seen, were coming from Zanzibar, and what surprised many people at the time of the 1983/84 debate, was that they were being aired in the state-owned-and-controlled official mass media.
No such strong feelings were voiced on the mainland during the debates. Many people who made submissions to the Nyalali Commission said hardly anything about the system of governments that the union should have. It was only after the opening up of the political system and the establishment of more political parties that one began hearing very strong views coming form the mainland on the question of the Union; some of those going even further than anybody in Zanzibar had ever contemplated.
THE NYALALI COMMISSION: AGREED TO DISAGREE
One of the major recommendations of the Nyalali Commission was for the replacement of the present union set-up with a federal one. This was one of the areas that bought about a very heated debate within the commission and which necessitated members of the commission having to vote. Later those who were opposed to the federal idea had to append their own dissenting opinion to the main report to explain their position. But the division in the commission on this issue almost came to a mainland/Zanzibar division.
Of the 11 members from Zanzibar, seven wanted the present union set-up, with some major changes, to remain; three wanted a federal and one was undecided. Of the same number from the Mainland, nine wanted a federal set-up and two wanted the present arrangement to continue. What is important is that both sides agreed that there were problems within the union. Even though at the time the complaints form the mainland were not so loud compared to Zanzibar, it would have been wise if those complaints were addressed and resolved. The majority of members of the commission felt that in a federal set-up, both Tanganyika and Zanzibar would retain their identity, federal areas would be clearly defined and the responsibilities of each would be understood, and the federal entity would be distinct from the national ones.
Those holding the minority opinion, on the other hand, were of the view that there was nothing in the Articles of Union to suggest that their framers had a federal set-up in mind; that a federation would be a step backward and might be a prelude to the dissolution of the union; that corrective measures could be taken, if there is political will, which would define union matters, list union institutions and apportion the responsibility of each side on those matters. Examples were provided from the two Scandinavian countries of Denmark and Finland where entities (Faroe Islands, Aaland Islands and Greenland) have full autonomy in a number of areas that they exercise within a non-federal state. The dissenting opinion in the Nyalali Report pointed out:
‘Greenland and Faroe Islands, both of which are part of Denmark, have full autonomy in many matters. For example, a parliament that is not subject to interference form the central government of Denmark, and all political and economic matters agreed upon and even in international relations. The islands of Faroe have their own flag hoisted in all government buildings and on ships registered in Faroe islands. Also Faroe Islands authority issues passports;
Denmark had agreed to join the European Economic Community. So did Greenland. But later, Greenland withdrew from the Community. Therefore, all EEC agreements and conditionality accepted in Denmark did not apply in Greenland. Similarly, the Islands of Faroe are not a member of the EU.
In regard to Finland, the islands of Aaland have their own parliament and government. The islands of Aaland also have their own ‘identity’ for persons born in the islands and who have not lived abroad consecutively for five years or more. The islands have their own flag, issue their own stamps and its citizens are not subject to military service. The islands of Aaland are a demilitarised zone. The Central Bank of Finland must consult the government of Aaland before it takes measures that might harm the economy of Aaland. This, despite the fact that they share a common currency;
The islands of Aaland, as is the case for Greenland and Faroe, are, on their own right, represented in the Nordic Council that consists of Denmark, Finland, Sweden, Norway and Iceland.’
WHITHER THE UNION?
As pointed out above, there have been historical links between Zanzibar and Tanganyika long before the coming of the colonialists in East Africa; and colonialism did not in fact stop such interactions from continuing. During the struggle for national independence, the two main political parties in the two countries cooperated – though there is nothing to suggest that the two parties were thinking of merging into a union of this kind after they came into power. What they had in mind was to form a federation with Kenya and Uganda. Until the elections of July 1963, ASP still thought that it would win power through the electoral process; and it would appear that their main supporters, TANU (Tanganyika African National Union), thought likewise.
Now the union is a fact. Despite a lot of problems, it has brought stability and peace in the region. It is difficult to speculate what would have happened to the Zanzibar revolution without the union: Whether Zanzibar would have advanced faster or whether a counter-revolutionary force would have taken over and embellished a dictatorship worse than anything the islands have actually experienced especially during the first phase government. What is clear though is that the union has brought the two peoples much closer together.
I do not believe that the unity of the two peoples can be strengthened by restructuring the present set-up into a federation. I see movement from the present set-up to a federation as a step towards the dismemberment of the union; and I do not think that that is to the short or long term benefit of the people of Tanzania. The present problems can be resolved if there is a strong political will on the part of our political class and if the people are told the truth about those problems.
Only when corrective measures are taken, would it be possible to sustain and strengthen the union. Otherwise if the difficulties inherent in the Articles of Union and the problems arising from implementation are only emphasised and not resolved, the tendency would be towards the withering away of the union.
In this era of multi-parties and openness, it is even more important that matters are discussed and solutions founded on popular will. Of all the political parties that have been established since the abolition of the one-party system, only one, the Democratic Party led by Reverend Mtikila, has come out strongly against the union and called for its dissolution. Others are prevaricating between ‘referendum’, ‘federation’ and modifications within the present set-up. The CCM and its governments which seemed earlier on to strongly accept the dissenting opinion in the Nyalali Report, now seems to be torn apart, with a strong group calling for a federal set-up.
The national language, the ethics of equality and human dignity, and the Union of Tanganyika and Zanzibar are what overcame the ethnic hatred, religious bigotry, regional parochialism and national differences and forged national cohesion and unity. It is these that have made Tanzania an example in a continent beset with secessionism, ethnic violence and religious pogroms. One hopes that there is capacity, honesty and patriotism within Tanzania that will look beyond the sectarian interests. The alternative is too horrendous to contemplate.
*A full version of this paper was published in 1993 by the Danish Centre for Development Research. It also appeared in the book Zanzibar and the Union Question, edited by Prof Chris Peter and Professor Haroub Othman and published by the Zanzibar Legal Services Centre.
Proud, conscious and committed Panafricanist always busy scheming for Africanjema – Democratic, Peaceful, United and Prosperous Africa for Africans by Africans…
Mwalimu Nyerere anapogeuzwa mtaji wa ufisadi endelevu
Kama kuna mhimili pekee wa utaifa wetu ambao hadi sasa umeweza kuhimili mikiki mikiki lukuki yenye nia ya kuubomoa na kuufutilia mbali katika historia ya nchi yetu basi ni jina la Mwalimu Nyerere.
Miaka kumi baada ya Mwalimu kuondoka duniani bado jina la Mwalimu limekuwa kama nguzo kuu ambayo watanzania kwa pamoja wamekuwa wakiendelea kutegemea kama turufu pekee ya kulinda, kutetea na zaidi kuhalalisha maoni, matakwa, mitizamo na hata matumaini yao. Jina la Mwalimu Nyerere limeendelea kuwa turufu pekee ya watu mbalimbali katika ulingo wa kisiasa, kiuchumi na hata kijamii kuhalalisha maoni, mitizamo na hata maslahi yao. Jina la Mwalimu Nyerere limeendelea kuwa lulu ya wengi hata kufikia wengine kudai kuwa na hati miliki ya matumizi yake na kuwanyima wengine haki hiyo.
Wakati nchi yetu ilipokuwa ikilazimika kufuata mkumbo wa kuanzisha mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, Mwalimu Nyerere aliweza kujitokeza kuwa sehemu muhimu ya mabadiliko hayo. Mengi yemesemwa kuhusu nini alisema na alikuwa na maana gani. Mojawapo ni lile la kuwa upinzani imara utatoka ndani ya CCM.
Imekuwa ni kawaida siku hizi kusikia watanzania wengi wakilalama, kusema na hata kupayuka kuwa ili nchi yetu iwe na demokrasia imara basi ni sharti CCM imeguke na kutimiza kile wanachodai utabiri wa Mwalimu Nyerere.
Mwanzoni haya yalikuwa yakizungumzwa sana miongoni mwa wachache waliopo katika vyama vya upinzani. Baadae hali hii ikaanza kujitokeza zaidi miongoni mwa watanzania waliochoshwa na “maovu” ya CCM lakini hawako tayari kujiunga ama kuunga mkono na vyama vya upinzani vilivyopo wakiamini kuwa huo sio upinzani wa kuaminika na utakaoweza kutoa mbadala makini wautakao wao.
Katika miaka ya hivi karibuni kinachoitwa utabiri wa Mwalimu Nyerere umekuwa zaidi ukizungumziwa sana na wana CCM wakiwemo viongozi waandamizi, viongozi wastaafu na hata wanachama wa kawaida.
Kufuatia mparaganyiko mkubwa uliojitokeza kuanzia mkutano wa halmashauri kuu ya CCM wa mwaka 2002 na kuhalalishwa rasmi wakati wa uchaguzi wa wagombea wa CCM katika uchaguzi wa mwaka 2005 ambao matunda yake yakaanza kujitokeza rasmi na kwa uwazi zaidi ndani ya bunge hili la sasa na kusambaa pande zote za nchi. Kile kinachoitwa “Utabiri wa Mwalimu” kimegeuzwa kuwa mtaji mkubwa wa kisiasa miongoni mwa wanaCCM na hata katika vyama vingine.
Kutokana na kugubikwa na utamaduni wa siasa chafu zenye kuendekeza rushwa na ufisadi, ubinafsi, migongano ya kimaslahi, chuki, uadui, majungu, kutokuaminiana na kukosa dira ndani ya chama hicho, watanzania wengi wamejikuta wakilazimika kukaa mkao wa kula kusubiri kutimia kwa utabiri wa Mwalimu wa kuwa upinzani imara utatokana na kumeguka kwa CCM.
Kwao wao ni kuwa matatizo yanayolikumba taifa letu yanatokana na sababu mbili. Moja ni migogoro ya ndani ya chama ambayo kwa maoni yao inasababishwa na baadhi ya wanachama wenye hulka ya kuthamini rushwa na ufisadi zaidi ya “maslahi ya chama na taifa” na Pili ni kukosekana kwa upinzani imara utakaoweza kukishurutisha chama cha CCM kurudi katika mstari ulionyooka na kukifanya kuwa imara kama inavyotakiwa.
Ni wazi kuwa wakati Mwalimu akitoa hicho tunachokiita utabiri wa kumeguka kwa CCM na kupatikana kwa upinzani imara nchini, alikuwa akifikiria ni jinsi gani chama chake alichokipenda na kukitumikia kwa uaminifu mkubwa kinaweza kurudi katika mstaari mnyoofu.
Hata hivyo wengi wetu tunashindwa kuangalia mazingira na mantiki halisi yaliyompelekea Mwalimu kuamini kuwa upinzani imara utatoka ndani ya CCM.
Mwalimu aliamini kuwa kutokana na misingi imara aliyoiwekeza katika CCM ni wazi kuwa kitaendelea kuwa chama imara kama kitapata upinzani imara utakaowalazimu wanaCCM kujiangalia na kujisafisha ili kuendelea kutawala. Kwa hali iliyokuwepo wakati ule Mwalimu alipotoa matamshi yale ni wazi aliona mkanganyiko wa kimisingi na kiitikadi ambao ulikuwa ukichipua ndani ya chama hicho. Ni wazi kuwa Mwalimu aliposema upinzani imara alimananisha kuwa upinzani ambao utakuwa unatofautiana na CCM kimisingi, kisera na kiitikadi na sio magomvi na ushindani wa nani anafaidika zaidi na ufisadi na nani anazuiliwa kufaidika zaidi na ufisadi huo kama hali ilivyo sasa.
Mimi naamini kuwa Mwalimu hakuwa mzembe wa kimawazo wa kuamini kuwa upinzani imara utatoka CCM bila ya kutambua sehemu ya tofauti za kimisingi na kiitikadi ambazo zingelipelekea baadhi ya wanaCCM kujitoa na kuanzisha chama chao.
Mwalimu aliongelea mgawanyiko wa CCM kwa mantiki ya kuwa kwa kuwa kulikuwa na baadhi ya wanaCCM wakiwemo viongozi wakuu wakiamini kuwa misingi, sera na itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea imepitwa na wakati na wangependa kuona CCM na Tanzania zinafuata misingi ya ubepari. Ni wazi hali hiyo ingepelekea chama hicho kugawanyika katika misingi hiyo na hivyo kuleta upinzani imara wenye kufuata tofauti za kimisingi, kisera na kiitikadi.
Tukumbuke kuwa ni wakati huohuo ndipo Mwalimu aliwahi kutamka kuwa kati ya vyama vilivyokuwepo aliamini kuwa CHADEMA ambacho kilikuwa kikijinasabisha na sera na itikadi za KIBEPARI kwa waziwazi bila ya kificho kama ilivyo kwa CCM ndicho kitaweza kuwa imara hapo mbeleni.
Ni vizuri tukajiuliza, Mwalimu akiwa kama mjamaa aliyekubuhu ni kwa nini hakusema kuwa NCCR ingeliweza kuwa chama makini wakati wao walikuwa wakijinasabisha na ujamaa wa mrengo wa kati lakini akasema ni CHADEMA. Iweje Mwalimu adhani kuwa CHADEMA kilichoanzishwa na mtu ambaye alimtaka ajiuzulu uwaziri wa fedha kutokana na kuonyesha nia ya kukumbatia ubepari kiwe cha kutolea mfano wa upinzani makini na sio NCCR iliyokuwa bado ikithamini chembechembe za ujamaa?
Vilevile tusisahau ukweli kuwa wakati hadi siku zake za mwisho Mwalimu aliendelea kuamini katika ujamaa lakini pia alishangaa rafiki yake mwaminifu Mzee Kawawa aliposema atakuwa na CCM hadi mwisho wa maisha yake. Ni wazi Mwalimu alishangaa ujasiri wa Mzee Kawawa kusema kuwa atakuwa mwanachama muaminifu wa CCM hata kama kitaamua kukumbatia ubepari kama dalili zilivyokuwa zikianza kujionyesha wakati ule.
Kwa Mwalimu suala la misingi na itikadi ndilo lilikuwa suala la yeye kuendelea kuwepo CCM ama kuachana nacho. Hivyohivyo alikuwa akiamini katika suala la kumeguka kwa CCM kutokana na tofauti za kimisingi na kiitikadi na kutokea kwa upinzani imara hapa nchini na si vinginevyo.
Hapa ndipo ninakuja kuona kuna upotoshaji mkubwa sana wa kile kinachoitwa utabiri wa Mwalimu kuhusu upinzani imara nchini. Ninaamini kuwa upotoshaji huu unafanyika ama kwa kutokujua ama kwa makusudi kabisa ili kuendelea kumtumia Mwalimu Nyerere kuhalalisha maslahi na mikakati ya kuendeleza mfumo fisadi unaoendelea kushamiri nchini mwetu.Hawa wapo tayari kuwaaminisha Watanzania kuwa endapo wao watatoka CCM na kuanzisha ama kujiunga na chama kingine basi chama hicho ndicho kitakuwa upinzani makini. Hawa wasingependa watanzania kuwauliza na hata wao wenyewe kujiuliza maswali magumu ya kama kweli kumeguka kwa CCM kutokana na hali na sababu za hivi sasa ndio kunatosheleza kuleta upinzani imara katika mntiki ya ule alioutabiri Mwalimu Nyerere.
Inatia wasiwasi zaidi kuona kuwa hivi sasa wakati tunaelekea katika uchaguzi mkuu wapo baadhi ya wanaCCM na hata wasio wana CCM wamekuwa mstari wa mbele kuendeleza upotoshaji huu kuwa mpasuko utakaotokea hapo ndio utakaoleta upinzani imara nchini.
Mbaya zaidi inasikitisha kuona kuwa miongoni mwa vyama vya upinzania wapo ambao badala ya kutilia mkazo suala la kujenga upinzani imara wameamua kuendelea kukaa mkao wa kula kusubiri kile wakiitacho mmeguko wa CCM ili nao wafaidike na makapi ya chama tawala kufanikisha ndoto zao za kurithi mfumo fisadi.
Inatisha kuona ni jinsi gani kwa muda wa miezi michache sana tayari kuna zaidi ya watanzania elfu kumi ambao wanadhani tayari wamepokea mwito wa utabiri wa mwalimu wa kujenga upinzani imara kutokana na mmeguko wa CCM.
Siamini kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa ameshindwa kufikiri kiasi cha kudhani kuwa bila ya kujali sababu na mitizamo ya hao Kimisingi, Kiitikadi na Kisera basi hao watakaotoka CCM wataweza kujenga upinzani imara aliokuwa akiufikiria yeye.
Sidhani kama Mwalimu alikuwa amechoka kuifikiria Tanzania yake hadi kuamini kuwa tofauti zinazoonekana sasa zinazohusishwa na suala la rushwa na ufisadi ama ushindani wa kimakundi wenye taswira ya uhodhi wa madaraka ndani ya CCM, zinatosheleza kupelekea kupatikana kwa upinzani imara nchini.
Naamini kuwa wapo wengi wanaotambua kuwa utabiri wa Mwalimu Nyerere kuhusu upinzani imara ulikuwa na maana ya kuwa utatokana na kumeguka kwa CCM kwa tofauti za misingi, itikadi na sera na sio tofauti hizi tunazoziona sasa.
Naamini kuwa Mwalimu Nyerere aliona upinzani imara utakaotokana kuvunjika kwa CCM kutokana na kukua tofauti za kimisingi, kiitikadi na kisera ambazo zitasimamiwa kidete na kupelekea ama wahafidhina waumini wa Ujamaa kuondoka katika chama hicho na kuwaachia wajanjawajanja waumini wa Ubepari au waumini wa ukombozi wa Kibepari kuondoka katika chama hicho na kuwaacha waumini wa Imani za Kijamaa kuendeleza kile ambacho yeye alikianzisha.
Ni wazi kuwa kutokana na hali inavyokwenda sasa uwezekano ni mkubwa wa CCM kumeguka katika misingi ya wale walio mstari wa mbele katika vita ya ufisadi. Yaani wale ambao wanaona kuwa ufisadi sio tatizo kubwa ndani ya chama chao na wale ambao wanaodhani kuwa ufisadi ni mzigo mkubwa ambao chama kinapaswa kujivua ili kuweza kuendelea kulinda uhalali wa kuwa chama tawala.
Yawezekana kuwa hili litaweza kupunguza ukiritimba wa CCM katika utawala. Lakini sidhani na wala siamini kuwa Mwalimu aliufikiria mgawanyiko wa aina hiyo ndio upinzani imara kama ambavyo wengi wanavyopotosha.
Upinzani ambao utatokana na kumeguka kwa CCM kutokana na ushindani wa kimakundi ambao umeegemea zaidi katika masuala (kama vile ufisadi na ushindani wa uhodhi wa nguvu za kiushawishi ndani ya chama) na sio kuegemea katika misingi, itikadi na sera, ni upinzani unaojengwa kwa nguzo legelege.
Ni wazi kuwa upinzani wa aina hiyo hautaweza kuwa imara kwani ni rahisi kujikuta yale ambayo wameyaacha huko walikotoka ili kuanzisha ama kuhamia chama kingine yataibuka tena huko walikoenda lakini zaidi hauwezi kuwa wenye kuweza kuleta suluhu la matatizo ya kitaifa yanayotukuma hivi sasa na hata huko mbeleni.
Upinzani imara ambao utakuwa na manufaa ya kwa watanzania ni ule utakaotokana na tofauti za kimisingi, kiitikadi na kisera na sio tofauti hizi za kiujanjaujanja tunazoziona sasa.
Miaka kumi baada ya Mwalimu kuondoka duniani bado jina la Mwalimu limekuwa kama nguzo kuu ambayo watanzania kwa pamoja wamekuwa wakiendelea kutegemea kama turufu pekee ya kulinda, kutetea na zaidi kuhalalisha maoni, matakwa, mitizamo na hata matumaini yao. Jina la Mwalimu Nyerere limeendelea kuwa turufu pekee ya watu mbalimbali katika ulingo wa kisiasa, kiuchumi na hata kijamii kuhalalisha maoni, mitizamo na hata maslahi yao. Jina la Mwalimu Nyerere limeendelea kuwa lulu ya wengi hata kufikia wengine kudai kuwa na hati miliki ya matumizi yake na kuwanyima wengine haki hiyo.
Wakati nchi yetu ilipokuwa ikilazimika kufuata mkumbo wa kuanzisha mfumo wa demokrasia ya vyama vingi, Mwalimu Nyerere aliweza kujitokeza kuwa sehemu muhimu ya mabadiliko hayo. Mengi yemesemwa kuhusu nini alisema na alikuwa na maana gani. Mojawapo ni lile la kuwa upinzani imara utatoka ndani ya CCM.
Imekuwa ni kawaida siku hizi kusikia watanzania wengi wakilalama, kusema na hata kupayuka kuwa ili nchi yetu iwe na demokrasia imara basi ni sharti CCM imeguke na kutimiza kile wanachodai utabiri wa Mwalimu Nyerere.
Mwanzoni haya yalikuwa yakizungumzwa sana miongoni mwa wachache waliopo katika vyama vya upinzani. Baadae hali hii ikaanza kujitokeza zaidi miongoni mwa watanzania waliochoshwa na “maovu” ya CCM lakini hawako tayari kujiunga ama kuunga mkono na vyama vya upinzani vilivyopo wakiamini kuwa huo sio upinzani wa kuaminika na utakaoweza kutoa mbadala makini wautakao wao.
Katika miaka ya hivi karibuni kinachoitwa utabiri wa Mwalimu Nyerere umekuwa zaidi ukizungumziwa sana na wana CCM wakiwemo viongozi waandamizi, viongozi wastaafu na hata wanachama wa kawaida.
Kufuatia mparaganyiko mkubwa uliojitokeza kuanzia mkutano wa halmashauri kuu ya CCM wa mwaka 2002 na kuhalalishwa rasmi wakati wa uchaguzi wa wagombea wa CCM katika uchaguzi wa mwaka 2005 ambao matunda yake yakaanza kujitokeza rasmi na kwa uwazi zaidi ndani ya bunge hili la sasa na kusambaa pande zote za nchi. Kile kinachoitwa “Utabiri wa Mwalimu” kimegeuzwa kuwa mtaji mkubwa wa kisiasa miongoni mwa wanaCCM na hata katika vyama vingine.
Kutokana na kugubikwa na utamaduni wa siasa chafu zenye kuendekeza rushwa na ufisadi, ubinafsi, migongano ya kimaslahi, chuki, uadui, majungu, kutokuaminiana na kukosa dira ndani ya chama hicho, watanzania wengi wamejikuta wakilazimika kukaa mkao wa kula kusubiri kutimia kwa utabiri wa Mwalimu wa kuwa upinzani imara utatokana na kumeguka kwa CCM.
Kwao wao ni kuwa matatizo yanayolikumba taifa letu yanatokana na sababu mbili. Moja ni migogoro ya ndani ya chama ambayo kwa maoni yao inasababishwa na baadhi ya wanachama wenye hulka ya kuthamini rushwa na ufisadi zaidi ya “maslahi ya chama na taifa” na Pili ni kukosekana kwa upinzani imara utakaoweza kukishurutisha chama cha CCM kurudi katika mstari ulionyooka na kukifanya kuwa imara kama inavyotakiwa.
Ni wazi kuwa wakati Mwalimu akitoa hicho tunachokiita utabiri wa kumeguka kwa CCM na kupatikana kwa upinzani imara nchini, alikuwa akifikiria ni jinsi gani chama chake alichokipenda na kukitumikia kwa uaminifu mkubwa kinaweza kurudi katika mstaari mnyoofu.
Hata hivyo wengi wetu tunashindwa kuangalia mazingira na mantiki halisi yaliyompelekea Mwalimu kuamini kuwa upinzani imara utatoka ndani ya CCM.
Mwalimu aliamini kuwa kutokana na misingi imara aliyoiwekeza katika CCM ni wazi kuwa kitaendelea kuwa chama imara kama kitapata upinzani imara utakaowalazimu wanaCCM kujiangalia na kujisafisha ili kuendelea kutawala. Kwa hali iliyokuwepo wakati ule Mwalimu alipotoa matamshi yale ni wazi aliona mkanganyiko wa kimisingi na kiitikadi ambao ulikuwa ukichipua ndani ya chama hicho. Ni wazi kuwa Mwalimu aliposema upinzani imara alimananisha kuwa upinzani ambao utakuwa unatofautiana na CCM kimisingi, kisera na kiitikadi na sio magomvi na ushindani wa nani anafaidika zaidi na ufisadi na nani anazuiliwa kufaidika zaidi na ufisadi huo kama hali ilivyo sasa.
Mimi naamini kuwa Mwalimu hakuwa mzembe wa kimawazo wa kuamini kuwa upinzani imara utatoka CCM bila ya kutambua sehemu ya tofauti za kimisingi na kiitikadi ambazo zingelipelekea baadhi ya wanaCCM kujitoa na kuanzisha chama chao.
Mwalimu aliongelea mgawanyiko wa CCM kwa mantiki ya kuwa kwa kuwa kulikuwa na baadhi ya wanaCCM wakiwemo viongozi wakuu wakiamini kuwa misingi, sera na itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea imepitwa na wakati na wangependa kuona CCM na Tanzania zinafuata misingi ya ubepari. Ni wazi hali hiyo ingepelekea chama hicho kugawanyika katika misingi hiyo na hivyo kuleta upinzani imara wenye kufuata tofauti za kimisingi, kisera na kiitikadi.
Tukumbuke kuwa ni wakati huohuo ndipo Mwalimu aliwahi kutamka kuwa kati ya vyama vilivyokuwepo aliamini kuwa CHADEMA ambacho kilikuwa kikijinasabisha na sera na itikadi za KIBEPARI kwa waziwazi bila ya kificho kama ilivyo kwa CCM ndicho kitaweza kuwa imara hapo mbeleni.
Ni vizuri tukajiuliza, Mwalimu akiwa kama mjamaa aliyekubuhu ni kwa nini hakusema kuwa NCCR ingeliweza kuwa chama makini wakati wao walikuwa wakijinasabisha na ujamaa wa mrengo wa kati lakini akasema ni CHADEMA. Iweje Mwalimu adhani kuwa CHADEMA kilichoanzishwa na mtu ambaye alimtaka ajiuzulu uwaziri wa fedha kutokana na kuonyesha nia ya kukumbatia ubepari kiwe cha kutolea mfano wa upinzani makini na sio NCCR iliyokuwa bado ikithamini chembechembe za ujamaa?
Vilevile tusisahau ukweli kuwa wakati hadi siku zake za mwisho Mwalimu aliendelea kuamini katika ujamaa lakini pia alishangaa rafiki yake mwaminifu Mzee Kawawa aliposema atakuwa na CCM hadi mwisho wa maisha yake. Ni wazi Mwalimu alishangaa ujasiri wa Mzee Kawawa kusema kuwa atakuwa mwanachama muaminifu wa CCM hata kama kitaamua kukumbatia ubepari kama dalili zilivyokuwa zikianza kujionyesha wakati ule.
Kwa Mwalimu suala la misingi na itikadi ndilo lilikuwa suala la yeye kuendelea kuwepo CCM ama kuachana nacho. Hivyohivyo alikuwa akiamini katika suala la kumeguka kwa CCM kutokana na tofauti za kimisingi na kiitikadi na kutokea kwa upinzani imara hapa nchini na si vinginevyo.
Hapa ndipo ninakuja kuona kuna upotoshaji mkubwa sana wa kile kinachoitwa utabiri wa Mwalimu kuhusu upinzani imara nchini. Ninaamini kuwa upotoshaji huu unafanyika ama kwa kutokujua ama kwa makusudi kabisa ili kuendelea kumtumia Mwalimu Nyerere kuhalalisha maslahi na mikakati ya kuendeleza mfumo fisadi unaoendelea kushamiri nchini mwetu.Hawa wapo tayari kuwaaminisha Watanzania kuwa endapo wao watatoka CCM na kuanzisha ama kujiunga na chama kingine basi chama hicho ndicho kitakuwa upinzani makini. Hawa wasingependa watanzania kuwauliza na hata wao wenyewe kujiuliza maswali magumu ya kama kweli kumeguka kwa CCM kutokana na hali na sababu za hivi sasa ndio kunatosheleza kuleta upinzani imara katika mntiki ya ule alioutabiri Mwalimu Nyerere.
Inatia wasiwasi zaidi kuona kuwa hivi sasa wakati tunaelekea katika uchaguzi mkuu wapo baadhi ya wanaCCM na hata wasio wana CCM wamekuwa mstari wa mbele kuendeleza upotoshaji huu kuwa mpasuko utakaotokea hapo ndio utakaoleta upinzani imara nchini.
Mbaya zaidi inasikitisha kuona kuwa miongoni mwa vyama vya upinzania wapo ambao badala ya kutilia mkazo suala la kujenga upinzani imara wameamua kuendelea kukaa mkao wa kula kusubiri kile wakiitacho mmeguko wa CCM ili nao wafaidike na makapi ya chama tawala kufanikisha ndoto zao za kurithi mfumo fisadi.
Inatisha kuona ni jinsi gani kwa muda wa miezi michache sana tayari kuna zaidi ya watanzania elfu kumi ambao wanadhani tayari wamepokea mwito wa utabiri wa mwalimu wa kujenga upinzani imara kutokana na mmeguko wa CCM.
Siamini kuwa Mwalimu Nyerere alikuwa ameshindwa kufikiri kiasi cha kudhani kuwa bila ya kujali sababu na mitizamo ya hao Kimisingi, Kiitikadi na Kisera basi hao watakaotoka CCM wataweza kujenga upinzani imara aliokuwa akiufikiria yeye.
Sidhani kama Mwalimu alikuwa amechoka kuifikiria Tanzania yake hadi kuamini kuwa tofauti zinazoonekana sasa zinazohusishwa na suala la rushwa na ufisadi ama ushindani wa kimakundi wenye taswira ya uhodhi wa madaraka ndani ya CCM, zinatosheleza kupelekea kupatikana kwa upinzani imara nchini.
Naamini kuwa wapo wengi wanaotambua kuwa utabiri wa Mwalimu Nyerere kuhusu upinzani imara ulikuwa na maana ya kuwa utatokana na kumeguka kwa CCM kwa tofauti za misingi, itikadi na sera na sio tofauti hizi tunazoziona sasa.
Naamini kuwa Mwalimu Nyerere aliona upinzani imara utakaotokana kuvunjika kwa CCM kutokana na kukua tofauti za kimisingi, kiitikadi na kisera ambazo zitasimamiwa kidete na kupelekea ama wahafidhina waumini wa Ujamaa kuondoka katika chama hicho na kuwaachia wajanjawajanja waumini wa Ubepari au waumini wa ukombozi wa Kibepari kuondoka katika chama hicho na kuwaacha waumini wa Imani za Kijamaa kuendeleza kile ambacho yeye alikianzisha.
Ni wazi kuwa kutokana na hali inavyokwenda sasa uwezekano ni mkubwa wa CCM kumeguka katika misingi ya wale walio mstari wa mbele katika vita ya ufisadi. Yaani wale ambao wanaona kuwa ufisadi sio tatizo kubwa ndani ya chama chao na wale ambao wanaodhani kuwa ufisadi ni mzigo mkubwa ambao chama kinapaswa kujivua ili kuweza kuendelea kulinda uhalali wa kuwa chama tawala.
Yawezekana kuwa hili litaweza kupunguza ukiritimba wa CCM katika utawala. Lakini sidhani na wala siamini kuwa Mwalimu aliufikiria mgawanyiko wa aina hiyo ndio upinzani imara kama ambavyo wengi wanavyopotosha.
Upinzani ambao utatokana na kumeguka kwa CCM kutokana na ushindani wa kimakundi ambao umeegemea zaidi katika masuala (kama vile ufisadi na ushindani wa uhodhi wa nguvu za kiushawishi ndani ya chama) na sio kuegemea katika misingi, itikadi na sera, ni upinzani unaojengwa kwa nguzo legelege.
Ni wazi kuwa upinzani wa aina hiyo hautaweza kuwa imara kwani ni rahisi kujikuta yale ambayo wameyaacha huko walikotoka ili kuanzisha ama kuhamia chama kingine yataibuka tena huko walikoenda lakini zaidi hauwezi kuwa wenye kuweza kuleta suluhu la matatizo ya kitaifa yanayotukuma hivi sasa na hata huko mbeleni.
Upinzani imara ambao utakuwa na manufaa ya kwa watanzania ni ule utakaotokana na tofauti za kimisingi, kiitikadi na kisera na sio tofauti hizi za kiujanjaujanja tunazoziona sasa.
WAMEBAKA NA KUDUMAZA KADEMOKRASIA KETU
August@2009
Wakati watanzania walio wengi wanaamka na kuonyesha utayari wa kuchukua jukumu la kuleta mabadiliko ya kweli ambayo yataliwezesha taifa letu kusonga mbele katika harakati za kujenga mfumo wa kidemokrasia nchini, ndugu zetu wa CHADEMA wameamua kubaka na kudumaza mfanikio madogo yaliyoweza kupatikana hadi hivi sasa.
Kwa kifupi tukio la kumshinikiza ama kumshawishi kama ambavyo wanapenda watu wajue, kiongozi wao mahiri Zitto Kabwe kuacha kushindana kidemokrasia na Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe katika kugombea nafasi ya mwenyekiti kinatafsirika kwa maneno machache sana. CHADEMA wamebaka na kudumaza harakati za demokrasia nchini.
Kama kuna chama ambacho watanzania hasa vijana walikuwa na matumaini makubwa ya kuwaondoa katika madhila ya ukiritimba wa miaka mingi ulioshiwa na tija wa CCM, basi chama hicho kilikuwa ni CHADEMA.
Natumia neno kilikuwa na matumaini kwa kuwa naamini kuwa kwa hali ilivyo sasa ni vigumu na kama sio kitu kisichowezekana kwa watanzania kuendelea na imani waliyoanza kuijenga kwa chama hicho kuwa kingeliweza kuwakomboa kutoka kwa maovu ya CCM ambayo yanaonekana kukosa dawa.
CHADEMA wamefanya yale ambayo hata mahasimu wao CCM hawakutegemea kuyaona. Wameweza kutupa baharini nafasi ya kipekee ya kuhakikisha ushindi wa kutosha kwa chama hicho katika chaguzi zinazokuja na kuamua kujichimbia kaburi la kisiasa. Yaani wameamua kujiunga na historia ya vyama ambavyo vilikuwa tishio kwa CCM, kuanzia enzi za NCCR Mageuzi hadi CUF ambavyo kwa sasa vimebaki historia tu kama vyama mbadala vya CCM.
Hapa nisingependa kuzungumzia ni nini CHADEMA ingeweza kufaidika ama kuathirika endapo wangelimchagua Zitto Kabwe kama mwenyekiti wao mpya. Ninachojaribu kuchambua ni faida gani CHADEMA kama chama na wapenda demokraisia nchini wangeliweza kupata na hasara gani ambazo uamuzi wa kumshawishi ama kumshinikiza Zitto kujitoa katika kinyang’anyiro hicho.
Ukweli ni kuwa kitendo cha mwanachama mwenye ushawishi mkubwa kama alivyo Zitto Kabwe kuthubutu kusimama kushindana na Mwenyekiti aliyeko madarakani kilifungua nafasi kubwa sana kwa CHADEMA. Kitendo hicho kimeweza kuonyesha kwa vitendo kuwa chama chao ni kweli chama cha demokrasia na maendeleo na maneno hayo sio kauli mbiu tu.
Wapo watu wengi, vijana kwa wazee ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakivutiwa na CHADEMA.
Na kama ilivyo utamaduni wa watanzania, wengi wao bado walikuwa wanasubiri uhakikisho kuwa CHADEMA ni mbadala makini wa CCM ili wajiunge katika harakati za kuleta mabadiliko makubwa kisiasa. Wengi wao kuingia kwa Zitto katika kinyang’anyiro hicho ilikuwa ni ishara kuwa CHADEMA inaweza kuaminiwa kwa yale wanayoyasema kwani wanaonyesha kuyatenda.
Ukiangalia kwa undani utaghamua kuwa kule kuingia tu katika kinyang’anyiro hicho kwa Zitto Kabwe kulikuwa ni mtaji mkubwa kwa CHADEMA na zaidi kwa maendeleo ya demokrasia nchini.
Kitendo cha Zitto Kabwe ambaye amekuwa kama kioo cha mafanikio ya wanasiasa vijana wenye uthubutu wa kusimama kupambana na mfumo kandamizi uliokuwa ukiwatisha kuthubutu kujiunga na vyama vya upinzani kuthubutu kuingia katika kinyang’anyiro hicho kulikuwa ni mwaliko wa wazi kwa maelfu ya vijana kujiunga na CHADEMA.
Kama CHADEMA wangeweza kuendelea na kufanya uchaguzi wao na mwishoni mshindwa akamkumbatia mshindi basi ni wazi hilo lingejenga imani kubwa kwa chama hicho miongoni mwa wapenda mabadiliko makini ambao hadi sasa wanashindwa kuamini vyama vyetu vya kisiasa na wanasiasa kwa ujumla.
Kwa watanzania ambao tungependa kuona kunakuwa na mfumo ambao unawezesha nchi yetu kuwa na demokrasia ya kweli yenye kujenga umakini wa kisiasa katika kuchagua viongozi wetu na kufanya maamuzi makubwa na madogo ya kikatiba, kisheria, kisera, kifalsafa na kiutawala. Kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na chama ambacho kitaweza kwanza kuondoa ukiritimba wa CCM katika vyombo vya maamuzi na baadae kutupa chaguo mbadala pale itakapowezekana kubadilisha chama tawala.
CHADEMA ilishaanza kujenga muono huo miongoni mwa watanzania walio wengi. Zitto Kabwe ni mmoja wa watu ndani ya CHADEMA ambao wameweza kujenga hisia miongoni mwa jamii kuwa kama wangendelea vizuri ni muonekano wa kidemokrasia na maendeleo, basi wangeweza kujenga imani miongoni watanzania hao. Yaani CHADEMA walikuwa ndio wanaelekea katika kufanikiwa kujenga imani kuwa lipo chaguo mbadala la CCM katika nchi yetu.
Ukweli ni kwamba baada ya kuyafanya waliyoyafanya, ni wazi kama ilivyo vigumu kwa viongozi wa CCM kuzungumzia vita dhidi ya ufasadi mbele ya watanzania, kwa CHADEMA itakuwa ni vigumu kwa viongozi wao kusimama kuongelea umuhimu wa demokrasia na kupiga vita ukandamizaji nchini na kuaminika ama hata kueleweka.
Ni wazi CHADEMA wamejifunga uhalali hata wa kuongelea UFISADI ambayo imekuwa ajenda yao muhimu katika miaka ya kariuni. Kwani hapa wameonyesha ufisadi wa hali ya juu dhidi ya misingi ya kidemkrasia ambayo ina nafasi kubwa katika kufikia maamuzi ya kisiasa miongoni wa wapenda mabadiliko katika nchi yetu.
Kitendo walichokifanya, tena kwa kumkandamiza Zitto Kabwe ambaye ni alama ya uthubutu na umakini miongoni mwa vijana ambao ndio mtaji mkuu katika chaguzi zinazokuja, CHADEMA wamewaondolea hata nafasi waliyokuwa nao baadhi ya vijana wao katika kushinda kwenye chaguzi zijazo.
Ni wazi kutokana na hali iliyotokea kuanzia sasa itakuwa vigumu sana kwa vijana wa CHADEMA ambao walikuwa nyota zinazotegemewa kubadili sura ya siasa katika uchaguzi ujao kuweza kuwashinda vijana wenzao wa CCM. Hii inatokana na ukweli kuwa hata wao o wamejijengea taswira ya ama kuunga mkono, kubariki ama kunyamazia nguvu za wazee ndani ya chama chao zikifisadisha misingi ya kidemorasia ambayo wao walipaswa vijana hao walipaswa kusimama kidete kuitetea na kuipigania. Ni wazi kuwa kuanzia sasa itakuwa vigumu kwa vijana wa CCM kusimama mbele ya vijana wenzao katika chaguzi zijazo na kuwashawishi kuwa wao ndio chaguo la mabadiliko ya kweli.
Zaidi, sababu ya kumshikiza Zitto kuacha kushindana na Mwenyekiti wao aliyekuwepo madarakani ili kuepusha mpasuko ndani ya chama ni sababu inayoleta maswali zaidi ya majibu.
Kwa chama ambacho kinasema kinapigania demokrasia na maendeleo nchi kuamini kuwa kuwaacha viongozi wawili kushinda katika uchaguzi ni tishio la umoja wa chama ni sawa na kukubaliana na fikiria mgando zilizomo miongoni mwa wahafidhina ndani ya CCM kuwa kuruhusu ushindani wa haki na huru kati ya vyama vya siasa nchini ni kuhatarisha amani na maelewano ya nchi yetu.
Pia, kusema kuwa Mbowe akipata mshindani mkali kutaleta mtafaruku ndani ya chama kunatoa sura ya ama wazee kumuogopa Mbowe ama kukiri kuwa CHADEMA hawawezi kufanya siasa za kiungwana na zisizo na chuki ambazo zingeleta mgawanyiko. Ni wazi fikira kama hizo sio tu zitazuia wengi wengine kujiunga na chama hicho lakini pia si ajabu tukasikia kuendelea kwa mlolongo wa wanachama na viongozi wa chama hicho kuondoka na kwenda kujiunga na jinamizi walilolizoea yaani CCM.
Ndio maana baada ya kuona hili nimekuwa nikijiuliza sana ukweli wa sababu za viongozi na wanachama kadhaa wa CHADEMA ama kuhama, kusimamishwa ama kufukuzwa uanachama katika miaka ya karibuni. Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli hawa walikuwa vidudu mtu vinavyohatarisha ustawi wa chama ama kuna tatizo la kiuongozi ndani ya chama hiki. Kutokana na maamuzi yaliyofanyika hivi karibuni nachelea kuamini kuwa wapo walio ondoka CHADEMA baada ya kushindwa kuvumilia kuvunjika moyo katika nia yao ya kujenga mabadiliko ya ndani ili kuweza kushawishi mabadiliko ya nje.
Na katika hili, ni wazi muathirika si Zitto, si Mbowe na wala sio CHADEMA tu bali ni mustakali mzima wa mapambano ya kujenga demokrasia nchini.
Kitendo cha kuonyesha taswira ya kuwa kuna uwezekano wa kiongozi wa CHADEMA kuwa tayari kutumia mbinu zozote zile, halali na haramu, makini na hovyohovyo, salama na hatari ili kulinda nafasi yake kileleni, kinaonyesha kuwa ile ndoto ya vyama vya upinzani kuungana ili kukishinda chama dola cha CCM zinaendelea kubaki hivyo, yaani ni ndoto tu.
Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa kitendo hiki kinahalalisha propaganda ya CCM na dola kuwa viongozi wa vyama vya upinzani wamegubikwa na ubinafsi na hawana nia ya kuwakomboa watanzania kama wasemavyo.
Na hapa napenda kuwashauri wana CHADEMA kuacha kutumia ujanja wa CCM kama sababu ya yaliyotokea na yanayoendelea kuwakumba. Kufanya hivyo ni sawa na kuwaunga mkono watwala wetu wa sasa ambao daima hawachoki kuwalaumu wazungu ama wakoloni kwa umasikini na madhila waliyowezesha katika nchi yetu kutokana na makosa yao wenyewe. Ilichofanya CHADEMA ni kujianika mbele ya mashamulizi ya CCM na maadui wengi. Na itakuwa ajabu sana kama madui hao wataacha nafasi hii kuwashambulia na hata kuwamaliza kabisa wakati huu nyeti wa kuelekea katika chaguzi za kitaifa.
Zaidi, kitendo walichokifanya CHADEMA kinawapa nafasi na nguvu zaidi maadui wa demokrasia kuendelea kudhihaki harakati za demokrasia nchini. Wapo ambao wamekuwa wakipita mitaani kusema kuwa wanaopiga kelele kutaka demokrasia hawana nia ya kweli ya kuleta demokrasia ya kweli bali ni mbinu tu ya kuweza kujipatia madaraka na baadae kufanya yaleyale ambayo wanayalalamikia wakati wasipokuwa madarakani.
Hatua ya kumshikinikiza Zitto Kabwe kutotumia haki yake ya kidemokrasia ya kuomba ridhaa ya kuongoza chama chake kwa wanachama wenzake kinahalalisha mitazamo ya maadui wa demokrsia kama hao.
Ni wazi, uamuzi wa wazee wa CHADEMA kumshinikiza Zitto Kabwe kujitoa katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama chake kwa kuhofia uwepo wa siasa chafu zitakazoweza kugawanya chama chao ulichofanikiwa ni kuhalalisha matumizi ya siasa chafu na hovyohovyo na hivyo kudumaza kabisa ndoto na juhudi za watanzania wanaopenda kuona mfumo wa demokrasia makini unatawala nchini mwetu.
Baada ya kufuatilia kwa karibu mwenendo wa siasa zetu wakati wa uchaguzi uliopita (2005) na baadae kupata taarifa za ufisadi mkubwa uliokuwa na na bado unaendelea katika nchi yetu mara baada utawala Mwalimu Nyerere, nilikuja katika hitimisho kuwa CCM na wadau wake wamelibaka taifa letu, na sasa nachelea kuhitimisha kuwa CHADEMA wamebaka kademkorasia ketu ambako katika miaka ya hivi karibuni tulianza kujenga imani na matarajio nako.
Wakati watanzania walio wengi wanaamka na kuonyesha utayari wa kuchukua jukumu la kuleta mabadiliko ya kweli ambayo yataliwezesha taifa letu kusonga mbele katika harakati za kujenga mfumo wa kidemokrasia nchini, ndugu zetu wa CHADEMA wameamua kubaka na kudumaza mfanikio madogo yaliyoweza kupatikana hadi hivi sasa.
Kwa kifupi tukio la kumshinikiza ama kumshawishi kama ambavyo wanapenda watu wajue, kiongozi wao mahiri Zitto Kabwe kuacha kushindana kidemokrasia na Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe katika kugombea nafasi ya mwenyekiti kinatafsirika kwa maneno machache sana. CHADEMA wamebaka na kudumaza harakati za demokrasia nchini.
Kama kuna chama ambacho watanzania hasa vijana walikuwa na matumaini makubwa ya kuwaondoa katika madhila ya ukiritimba wa miaka mingi ulioshiwa na tija wa CCM, basi chama hicho kilikuwa ni CHADEMA.
Natumia neno kilikuwa na matumaini kwa kuwa naamini kuwa kwa hali ilivyo sasa ni vigumu na kama sio kitu kisichowezekana kwa watanzania kuendelea na imani waliyoanza kuijenga kwa chama hicho kuwa kingeliweza kuwakomboa kutoka kwa maovu ya CCM ambayo yanaonekana kukosa dawa.
CHADEMA wamefanya yale ambayo hata mahasimu wao CCM hawakutegemea kuyaona. Wameweza kutupa baharini nafasi ya kipekee ya kuhakikisha ushindi wa kutosha kwa chama hicho katika chaguzi zinazokuja na kuamua kujichimbia kaburi la kisiasa. Yaani wameamua kujiunga na historia ya vyama ambavyo vilikuwa tishio kwa CCM, kuanzia enzi za NCCR Mageuzi hadi CUF ambavyo kwa sasa vimebaki historia tu kama vyama mbadala vya CCM.
Hapa nisingependa kuzungumzia ni nini CHADEMA ingeweza kufaidika ama kuathirika endapo wangelimchagua Zitto Kabwe kama mwenyekiti wao mpya. Ninachojaribu kuchambua ni faida gani CHADEMA kama chama na wapenda demokraisia nchini wangeliweza kupata na hasara gani ambazo uamuzi wa kumshawishi ama kumshinikiza Zitto kujitoa katika kinyang’anyiro hicho.
Ukweli ni kuwa kitendo cha mwanachama mwenye ushawishi mkubwa kama alivyo Zitto Kabwe kuthubutu kusimama kushindana na Mwenyekiti aliyeko madarakani kilifungua nafasi kubwa sana kwa CHADEMA. Kitendo hicho kimeweza kuonyesha kwa vitendo kuwa chama chao ni kweli chama cha demokrasia na maendeleo na maneno hayo sio kauli mbiu tu.
Wapo watu wengi, vijana kwa wazee ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakivutiwa na CHADEMA.
Na kama ilivyo utamaduni wa watanzania, wengi wao bado walikuwa wanasubiri uhakikisho kuwa CHADEMA ni mbadala makini wa CCM ili wajiunge katika harakati za kuleta mabadiliko makubwa kisiasa. Wengi wao kuingia kwa Zitto katika kinyang’anyiro hicho ilikuwa ni ishara kuwa CHADEMA inaweza kuaminiwa kwa yale wanayoyasema kwani wanaonyesha kuyatenda.
Ukiangalia kwa undani utaghamua kuwa kule kuingia tu katika kinyang’anyiro hicho kwa Zitto Kabwe kulikuwa ni mtaji mkubwa kwa CHADEMA na zaidi kwa maendeleo ya demokrasia nchini.
Kitendo cha Zitto Kabwe ambaye amekuwa kama kioo cha mafanikio ya wanasiasa vijana wenye uthubutu wa kusimama kupambana na mfumo kandamizi uliokuwa ukiwatisha kuthubutu kujiunga na vyama vya upinzani kuthubutu kuingia katika kinyang’anyiro hicho kulikuwa ni mwaliko wa wazi kwa maelfu ya vijana kujiunga na CHADEMA.
Kama CHADEMA wangeweza kuendelea na kufanya uchaguzi wao na mwishoni mshindwa akamkumbatia mshindi basi ni wazi hilo lingejenga imani kubwa kwa chama hicho miongoni mwa wapenda mabadiliko makini ambao hadi sasa wanashindwa kuamini vyama vyetu vya kisiasa na wanasiasa kwa ujumla.
Kwa watanzania ambao tungependa kuona kunakuwa na mfumo ambao unawezesha nchi yetu kuwa na demokrasia ya kweli yenye kujenga umakini wa kisiasa katika kuchagua viongozi wetu na kufanya maamuzi makubwa na madogo ya kikatiba, kisheria, kisera, kifalsafa na kiutawala. Kuna umuhimu mkubwa wa kuwa na chama ambacho kitaweza kwanza kuondoa ukiritimba wa CCM katika vyombo vya maamuzi na baadae kutupa chaguo mbadala pale itakapowezekana kubadilisha chama tawala.
CHADEMA ilishaanza kujenga muono huo miongoni mwa watanzania walio wengi. Zitto Kabwe ni mmoja wa watu ndani ya CHADEMA ambao wameweza kujenga hisia miongoni mwa jamii kuwa kama wangendelea vizuri ni muonekano wa kidemokrasia na maendeleo, basi wangeweza kujenga imani miongoni watanzania hao. Yaani CHADEMA walikuwa ndio wanaelekea katika kufanikiwa kujenga imani kuwa lipo chaguo mbadala la CCM katika nchi yetu.
Ukweli ni kwamba baada ya kuyafanya waliyoyafanya, ni wazi kama ilivyo vigumu kwa viongozi wa CCM kuzungumzia vita dhidi ya ufasadi mbele ya watanzania, kwa CHADEMA itakuwa ni vigumu kwa viongozi wao kusimama kuongelea umuhimu wa demokrasia na kupiga vita ukandamizaji nchini na kuaminika ama hata kueleweka.
Ni wazi CHADEMA wamejifunga uhalali hata wa kuongelea UFISADI ambayo imekuwa ajenda yao muhimu katika miaka ya kariuni. Kwani hapa wameonyesha ufisadi wa hali ya juu dhidi ya misingi ya kidemkrasia ambayo ina nafasi kubwa katika kufikia maamuzi ya kisiasa miongoni wa wapenda mabadiliko katika nchi yetu.
Kitendo walichokifanya, tena kwa kumkandamiza Zitto Kabwe ambaye ni alama ya uthubutu na umakini miongoni mwa vijana ambao ndio mtaji mkuu katika chaguzi zinazokuja, CHADEMA wamewaondolea hata nafasi waliyokuwa nao baadhi ya vijana wao katika kushinda kwenye chaguzi zijazo.
Ni wazi kutokana na hali iliyotokea kuanzia sasa itakuwa vigumu sana kwa vijana wa CHADEMA ambao walikuwa nyota zinazotegemewa kubadili sura ya siasa katika uchaguzi ujao kuweza kuwashinda vijana wenzao wa CCM. Hii inatokana na ukweli kuwa hata wao o wamejijengea taswira ya ama kuunga mkono, kubariki ama kunyamazia nguvu za wazee ndani ya chama chao zikifisadisha misingi ya kidemorasia ambayo wao walipaswa vijana hao walipaswa kusimama kidete kuitetea na kuipigania. Ni wazi kuwa kuanzia sasa itakuwa vigumu kwa vijana wa CCM kusimama mbele ya vijana wenzao katika chaguzi zijazo na kuwashawishi kuwa wao ndio chaguo la mabadiliko ya kweli.
Zaidi, sababu ya kumshikiza Zitto kuacha kushindana na Mwenyekiti wao aliyekuwepo madarakani ili kuepusha mpasuko ndani ya chama ni sababu inayoleta maswali zaidi ya majibu.
Kwa chama ambacho kinasema kinapigania demokrasia na maendeleo nchi kuamini kuwa kuwaacha viongozi wawili kushinda katika uchaguzi ni tishio la umoja wa chama ni sawa na kukubaliana na fikiria mgando zilizomo miongoni mwa wahafidhina ndani ya CCM kuwa kuruhusu ushindani wa haki na huru kati ya vyama vya siasa nchini ni kuhatarisha amani na maelewano ya nchi yetu.
Pia, kusema kuwa Mbowe akipata mshindani mkali kutaleta mtafaruku ndani ya chama kunatoa sura ya ama wazee kumuogopa Mbowe ama kukiri kuwa CHADEMA hawawezi kufanya siasa za kiungwana na zisizo na chuki ambazo zingeleta mgawanyiko. Ni wazi fikira kama hizo sio tu zitazuia wengi wengine kujiunga na chama hicho lakini pia si ajabu tukasikia kuendelea kwa mlolongo wa wanachama na viongozi wa chama hicho kuondoka na kwenda kujiunga na jinamizi walilolizoea yaani CCM.
Ndio maana baada ya kuona hili nimekuwa nikijiuliza sana ukweli wa sababu za viongozi na wanachama kadhaa wa CHADEMA ama kuhama, kusimamishwa ama kufukuzwa uanachama katika miaka ya karibuni. Nimekuwa nikijiuliza kama ni kweli hawa walikuwa vidudu mtu vinavyohatarisha ustawi wa chama ama kuna tatizo la kiuongozi ndani ya chama hiki. Kutokana na maamuzi yaliyofanyika hivi karibuni nachelea kuamini kuwa wapo walio ondoka CHADEMA baada ya kushindwa kuvumilia kuvunjika moyo katika nia yao ya kujenga mabadiliko ya ndani ili kuweza kushawishi mabadiliko ya nje.
Na katika hili, ni wazi muathirika si Zitto, si Mbowe na wala sio CHADEMA tu bali ni mustakali mzima wa mapambano ya kujenga demokrasia nchini.
Kitendo cha kuonyesha taswira ya kuwa kuna uwezekano wa kiongozi wa CHADEMA kuwa tayari kutumia mbinu zozote zile, halali na haramu, makini na hovyohovyo, salama na hatari ili kulinda nafasi yake kileleni, kinaonyesha kuwa ile ndoto ya vyama vya upinzani kuungana ili kukishinda chama dola cha CCM zinaendelea kubaki hivyo, yaani ni ndoto tu.
Kwa mantiki hiyo, ni wazi kuwa kitendo hiki kinahalalisha propaganda ya CCM na dola kuwa viongozi wa vyama vya upinzani wamegubikwa na ubinafsi na hawana nia ya kuwakomboa watanzania kama wasemavyo.
Na hapa napenda kuwashauri wana CHADEMA kuacha kutumia ujanja wa CCM kama sababu ya yaliyotokea na yanayoendelea kuwakumba. Kufanya hivyo ni sawa na kuwaunga mkono watwala wetu wa sasa ambao daima hawachoki kuwalaumu wazungu ama wakoloni kwa umasikini na madhila waliyowezesha katika nchi yetu kutokana na makosa yao wenyewe. Ilichofanya CHADEMA ni kujianika mbele ya mashamulizi ya CCM na maadui wengi. Na itakuwa ajabu sana kama madui hao wataacha nafasi hii kuwashambulia na hata kuwamaliza kabisa wakati huu nyeti wa kuelekea katika chaguzi za kitaifa.
Zaidi, kitendo walichokifanya CHADEMA kinawapa nafasi na nguvu zaidi maadui wa demokrasia kuendelea kudhihaki harakati za demokrasia nchini. Wapo ambao wamekuwa wakipita mitaani kusema kuwa wanaopiga kelele kutaka demokrasia hawana nia ya kweli ya kuleta demokrasia ya kweli bali ni mbinu tu ya kuweza kujipatia madaraka na baadae kufanya yaleyale ambayo wanayalalamikia wakati wasipokuwa madarakani.
Hatua ya kumshikinikiza Zitto Kabwe kutotumia haki yake ya kidemokrasia ya kuomba ridhaa ya kuongoza chama chake kwa wanachama wenzake kinahalalisha mitazamo ya maadui wa demokrsia kama hao.
Ni wazi, uamuzi wa wazee wa CHADEMA kumshinikiza Zitto Kabwe kujitoa katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti wa chama chake kwa kuhofia uwepo wa siasa chafu zitakazoweza kugawanya chama chao ulichofanikiwa ni kuhalalisha matumizi ya siasa chafu na hovyohovyo na hivyo kudumaza kabisa ndoto na juhudi za watanzania wanaopenda kuona mfumo wa demokrasia makini unatawala nchini mwetu.
Baada ya kufuatilia kwa karibu mwenendo wa siasa zetu wakati wa uchaguzi uliopita (2005) na baadae kupata taarifa za ufisadi mkubwa uliokuwa na na bado unaendelea katika nchi yetu mara baada utawala Mwalimu Nyerere, nilikuja katika hitimisho kuwa CCM na wadau wake wamelibaka taifa letu, na sasa nachelea kuhitimisha kuwa CHADEMA wamebaka kademkorasia ketu ambako katika miaka ya hivi karibuni tulianza kujenga imani na matarajio nako.
My uncle, my hero, my guardian, my role model, my Prof..
My uncle, my hero, my guardian, my role model, my Prof..
The family is at lost,
Tanzania is at lost,
ZANZIBAR is at lost,
Africa is at lost,
Palestine is at lost,
The left is at lost,
U should not leave us now Prof Othman...
Not now when we need ur wisdom,
Not now when we need ur patience,
Not now when we need ur ideals,
Not now when we need ur values,
Not now when we need ur integrity,
Not now when we need u most...
Yes u have given us the most,
Yes u have stand for us during the worst,
Yes u have taught the greatest
Yes u have inspired the best,
Yes u have done ur share,
But u shouldn't leave us the earliest.....
Ur the best,
Ur the greatest,
Ur the LEFT,
Ur the THA PANAFRICANIST,
Ur the teacher, ur the wisdom, ur the hope, ur the role model, ur THA comrade, ur the friend in the struggle...
28th June 2009
The family is at lost,
Tanzania is at lost,
ZANZIBAR is at lost,
Africa is at lost,
Palestine is at lost,
The left is at lost,
U should not leave us now Prof Othman...
Not now when we need ur wisdom,
Not now when we need ur patience,
Not now when we need ur ideals,
Not now when we need ur values,
Not now when we need ur integrity,
Not now when we need u most...
Yes u have given us the most,
Yes u have stand for us during the worst,
Yes u have taught the greatest
Yes u have inspired the best,
Yes u have done ur share,
But u shouldn't leave us the earliest.....
Ur the best,
Ur the greatest,
Ur the LEFT,
Ur the THA PANAFRICANIST,
Ur the teacher, ur the wisdom, ur the hope, ur the role model, ur THA comrade, ur the friend in the struggle...
28th June 2009
TANZANIA BORA HAITAJENGWA KWA STAILI YA BANDIKABANDUA
Ilyas, O.S @ August 2008
Katika miaka ya hivi karibuni nchi yetu imekuwa ikipita katika mitihani migumu inayotishia hatima yake kama taifa na hatima ya watanzania kwa ujumla. Mitihani ambayo kwa hali moja inatusaidia kupevuka kama taifa na kwa hali nyingine inatishia mustakabali wetu kama taifa.
Hali hii imefuata baada ya miaka kadhaa ya mtindo wa bandika bandua katika kushughulikia changamoto mbalimbali zinazolikumba taifa letu. Mtindo ambao kwa mantiki ya hali ilivyo sasa na dalili zinazonyesha huko tuendako, inatubidi kuachana nao haraka kabla hatujachelewa zaidi.
Changamoto tulizonazo ni lukuki ambazo ni wazi uzito wake utatuelemea. Hizi ni pamoja na tatizo la ufisadi, kuporomoka kwa maadili ya uongozi, kukua kwa hisia na kuongezeka kwa matendo ya kibaguzi miongoni mwetu, kustawi kwa matumizi ya siasa chafu, kupanuka kwa tofauti za kipato na kuongozeka kwa dalili za kuvunjika kwa muungano wetu. Kwa ujumla Tanzania ya sasa ina kila dalili mbaya ambayo hutokea katika jamii na matifa mbalimbali duniani zikiashiria kuvunjika kwa jamii hiyo ama tifa hilo.
Hata hivyo ni bahati mbaya kuwa mabadiliko yanayoendelea yamekuwa ni yale ya mtindo wa bandikabandua ambao unalenga zaidi katika kuendeleza uhalali wa tabaka tawala ambalo limejihodhisha nguvu zote za mabadiliko ya kisasa na kiuchumi badala ya kushughulikia mizizi ya changamoto hizo. Tumegubikwa na ujanjaujanja wa kushughulikia matokeo ya matatizo badala kuwa na uthubutu wa kushughulikia sababu ama mizizi ya matatizo hayo.
Hali ya ufisadi unaokomaa, kuporomoka kwa maadili ya uongozi, kukua kwa hisia na kuongezeka kwa matendo ya kibaguzi miongoni mwetu, kustawi kwa matumizi ya siasa chafu, kupanuka kwa tofauti za kipato na kuongozeka kwa dalili za kuvunjika kwa muungano wetu hayo yote ni matokeo ya matatizo na sio tatizo lenyewe.
Viongozi wetu ni lazima wakubali kuwa wakati umefika kuacha kupendelea hatua za kufunika kombe mwanawazimu apite. Viongozi wetu wanapaswa kukubali kuwa suluhu la matatizo au changamoto tunazokumbana nazo ni kuzungumzia, kukubaliana na kutekeleza makubaliano ya jinsi gani ya kuikoa Tanzania yetu na jinsi gani ya kuijenga kwa pamoja Tanzania iliyo bora kwa wote.
Ni wazi kuwa wakati umefika kwa viongozi wetu kuonyesha njia kwa watanzania kukaa kwa pamoja kujadili na kukubaliana njia mwafaka na ya muda mrefu ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazotukabili. Na viongozi wetu wakishindwa kupata uthubutu wa kuongoza katika hili basi wajue wazi kuwa si kitambo sana watanzania watajitwalia mikononi mwao jukumu hilo.
Yapo mengi ambayo watanzania tunapaswa kuwa tayari kuyaongea na kukubaliana kwa ukweli na uwazi bila ya kuogopa.
Watanzania tunahitaji kupata nafasi ya kuongelea masuala kama aina ya mfumo uchumi tupaswao kufuata, Mfumo wa kisiasa, mfumo wa muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar, Muungano wa Afrika Mashariki, sifa na maadili ya viongozi, utawala na sheria, haki na wajibu wa kijamii na jinsi gani tunaweza kuwa na mfumo wa uwezeshaji wa makundi maalumu ya kijamii bila ya kusababisha kutokuaminiana miongoni mwetu.
Tunapaswa kukaa pamoja na kuongelea kuhusu mfumo wa elimu, mahusiano kati ya vyama vya kisiasa na dola, mfumo wa uchaguzi na uwakilishi, nafasi ya vyama vya kiraia katika jamii yetu na suala zima la mila na tamaduni za kitaifa nayo ni muhimu yaka angaliwa upya kwa pamoja. Vilevile masuala ya uraia na siasa, suala heshima na maelewano ya kijamii na nafasi za viongozi wa kijamii katika uongozi wa nchi yetu.
Ni wazi kuwa hali ilivyo sasa ni ushahidi tosha kuwa wakati umefika sasa wa kuamua ni upi kati ya mfumo wa kibepari ama kijamaa tupaswao kuufuata na kwa faida ipi na njia zipi. Ni wazi kuwa bila ya uoga wowote tunapaswa kuliongelea suala la muungano ambalo kwa miaka sasa limekuwa kama donda liogopwalo kutibiwa ama hata kuguswa. Tunapaswa kulijadili sasa kuliko kuchelewa zaidi hadi kufika mahala chembe ya busara na uongozi thabiti iliyosalia, ikakosekana kabisa na kuacha chuki na dharau kuchukua mkondo kama dalili zinavyo onyesha.
Ni wazi kuwa tunapaswa kujadili suala la maadili katika jamii yetu kwa mapana yake na si hili la muono wa karibu wa siasa na biashara. Suala la maadili ni suala muhimu pia si tu kwa viongozi ambao wanapaswa kuwa kioo cha jamii lakini pia wananchi kwa ujumla. Hivi sasa jamii yetu inageuka jamii ya kichokoraa ambapo kila mtu akishindana na mwenzie kuvunja sheria za nchi na jamii kwa ujumla. Maadili sio suala la watoto na vijana wetu tu kama tulivyozoe. Ni suala la wazee, wazazi, viongozi wakuu na wadogo, matajiri na masikini, wenyeji na wageni, na watawala na watawaliwa.
Mfumo wa kisiasa nao unahitaji kufumwa upya ili kuwezesha demokrasia ya kweli kuweza kukomaa na kusaidia kujenga Tanzania yenye neema. Kamwe hili halitwezekana kama tutaendela na stili ya bandikabandua ambayo inalenga kulinda maslahi na nafsai za kundi fulani tu bila ya kujali mapungufu yanayotokana na staili hiyo ambayo yanamsabibishia mtanzania kuendelea kuishi katika maisha ya unyonge yasiyo na tija ya kimaendeleo.
Uamuzi wa kufanya mjadala huu wa kisiasa unapaswa kufikiwa sasa ili kuweza kutumia nafasi hii tuliyojikuta tunayo bila ya kuchelewa. Ni muhimu kufanikisha mjadala huo mapema ili kupelekea kutungwa kwa katiba mpya kabla ya mwaka 2010 itakayowezesha kuwa na uchaguzi ambao umefanyika chini ya mfumo mpya ulioshirikisha na kukubalika na watanzania wote. Tukawa na katiba ambayo itapata uhalali wa kila mtanzania aliye na haki ya kupiga kura.
Umuhimu wa kufanya hivyo unatokana na kuwa watanzania sasa zaidi ya wakati mwengine wowote wana shauku kubwa ya kuijenga nchi yao kwa uthabiti zaidi kama ari mpya inavyosomeka na wengi
Lakini vilevile ni muhimu kuamua sasa kwani siasa ni fani inayosifika kwa kubadili mwenendo wakati wowote ule. Kama uamuzi huo hautachukuliwa sasa na kutumia mazingira ya kisiasa na kijamii tuliyonayo sasa basi inaweza ikatokea hapo baadae hali ikawa mbaya zaidi na kulazimisha mabadiliko hayo yatokee baada ya kupitia njia mbadala ambayo itakuwa janga kubwa kwa taifa letu.
Tusingoje tufikie hali ya siasa za magomvi na chuki kama zilizowafikisha ndugu zetu wa Burundi, Sudan, Zaire (Kongo DRC), Siera Leone, Liberia walipofikia ndio tufikirie hilo. Na wala tusisubiri hali ya kutatanisha iliyojengwa katika upande mmoja wa muungano wetu yaani visiwa vya Unguja na Pemba ndipo tufikirie kufanya hilo.
Badala ya kuendelea kupoteza muda, fedha, na hata maisha ya watanzania, viongozi wetu wanaotaka kukumbukwa kwa mapendo na sio chuki dhidi yao na vizazi vyao hapo baadae, wanapaswa kuwa na uthubutu wa kushinikiza na kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhus hatima ya nchi yetu sasa bila ya kuechelewa zaidi.
Mjadala bora na wa kujenga, daima hufanyika pale wahusika wanapokuwa katika hali ya mapendo, maelewano na heshima miongoni mwao.
Wapo wanaodhani kuwa kuanzisha mjadala kama huu ni kufungulia matatizo ambayo yanaweza kushindikana kudhibitiwa.
Wapo wanaogopa kufungulia mabadiliko kwa kuwa wanaamini hali iliyopo sasa ni hali ya kupita tu na wataweza kubadili mwelekeo na ukawa unaoridhisha kwa upande wao.
Hawa wote kwa kweli wamesahau kusoma nyakati. Mwenendo uliopo sasa hautabadilika bila ya kuwa tayari kuchukua uamuzi thabiti wa kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhusu masuala yote muhimu yanayotusibu.
Badala ya leo kuwa na mjadala wa kuwa na KADHI, kesho mjadala wa kuhamia Dodoma, kesho kushokutwa mjadala wa URAIA, mtondogoo mjadala wa Uongozi na Biashara, ni muhimu tukawa makini zaidi na kuanzisha mjadala wa kitaifa wa pamoja ambako haya yote na mengineyo yatajadiliwa kwa mpangilio madhumubuti na utakaopunguza mzigo kwa walipa kodi wa nchi yetu.
Ni mjadala wa kitaifa tu na sio maamuzi ya bandikabandua yanayolenga kulinda mfumo fisadi tulionao ndio yataweza kujenga Tanzania iliyo na neema kwa wote kama kauli mbiu ya chama tawala CCM.
Ni mjadala wa pamoja na sio ule wa wakubwa wachache tu utawezesha kuongeza utashi wa watanzania kulitumikia taifa lao kwa nguvu na uminifu zaidi. Ni utashi binafsi wa watanzania ndio utakaorudisha nidhamu binafsi na uzalendo miongoni mwa watanzania. Na bila ya kurudisha haya tutaendelea longolongo hadi kukuche lakini Tanzania bora kamwe haitawezekana.
Tanzania bora kwa wote itajengwa kwa kushirikisha watanzania wote bila ya ubaguzi wa aina yoyote na kamwe haitajengwa kwa mtindo wa mabadiliko ya bandikabandua kama tunaoendeleza sasa.
Katika miaka ya hivi karibuni nchi yetu imekuwa ikipita katika mitihani migumu inayotishia hatima yake kama taifa na hatima ya watanzania kwa ujumla. Mitihani ambayo kwa hali moja inatusaidia kupevuka kama taifa na kwa hali nyingine inatishia mustakabali wetu kama taifa.
Hali hii imefuata baada ya miaka kadhaa ya mtindo wa bandika bandua katika kushughulikia changamoto mbalimbali zinazolikumba taifa letu. Mtindo ambao kwa mantiki ya hali ilivyo sasa na dalili zinazonyesha huko tuendako, inatubidi kuachana nao haraka kabla hatujachelewa zaidi.
Changamoto tulizonazo ni lukuki ambazo ni wazi uzito wake utatuelemea. Hizi ni pamoja na tatizo la ufisadi, kuporomoka kwa maadili ya uongozi, kukua kwa hisia na kuongezeka kwa matendo ya kibaguzi miongoni mwetu, kustawi kwa matumizi ya siasa chafu, kupanuka kwa tofauti za kipato na kuongozeka kwa dalili za kuvunjika kwa muungano wetu. Kwa ujumla Tanzania ya sasa ina kila dalili mbaya ambayo hutokea katika jamii na matifa mbalimbali duniani zikiashiria kuvunjika kwa jamii hiyo ama tifa hilo.
Hata hivyo ni bahati mbaya kuwa mabadiliko yanayoendelea yamekuwa ni yale ya mtindo wa bandikabandua ambao unalenga zaidi katika kuendeleza uhalali wa tabaka tawala ambalo limejihodhisha nguvu zote za mabadiliko ya kisasa na kiuchumi badala ya kushughulikia mizizi ya changamoto hizo. Tumegubikwa na ujanjaujanja wa kushughulikia matokeo ya matatizo badala kuwa na uthubutu wa kushughulikia sababu ama mizizi ya matatizo hayo.
Hali ya ufisadi unaokomaa, kuporomoka kwa maadili ya uongozi, kukua kwa hisia na kuongezeka kwa matendo ya kibaguzi miongoni mwetu, kustawi kwa matumizi ya siasa chafu, kupanuka kwa tofauti za kipato na kuongozeka kwa dalili za kuvunjika kwa muungano wetu hayo yote ni matokeo ya matatizo na sio tatizo lenyewe.
Viongozi wetu ni lazima wakubali kuwa wakati umefika kuacha kupendelea hatua za kufunika kombe mwanawazimu apite. Viongozi wetu wanapaswa kukubali kuwa suluhu la matatizo au changamoto tunazokumbana nazo ni kuzungumzia, kukubaliana na kutekeleza makubaliano ya jinsi gani ya kuikoa Tanzania yetu na jinsi gani ya kuijenga kwa pamoja Tanzania iliyo bora kwa wote.
Ni wazi kuwa wakati umefika kwa viongozi wetu kuonyesha njia kwa watanzania kukaa kwa pamoja kujadili na kukubaliana njia mwafaka na ya muda mrefu ya kukabiliana na changamoto mbalimbali zinazotukabili. Na viongozi wetu wakishindwa kupata uthubutu wa kuongoza katika hili basi wajue wazi kuwa si kitambo sana watanzania watajitwalia mikononi mwao jukumu hilo.
Yapo mengi ambayo watanzania tunapaswa kuwa tayari kuyaongea na kukubaliana kwa ukweli na uwazi bila ya kuogopa.
Watanzania tunahitaji kupata nafasi ya kuongelea masuala kama aina ya mfumo uchumi tupaswao kufuata, Mfumo wa kisiasa, mfumo wa muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar, Muungano wa Afrika Mashariki, sifa na maadili ya viongozi, utawala na sheria, haki na wajibu wa kijamii na jinsi gani tunaweza kuwa na mfumo wa uwezeshaji wa makundi maalumu ya kijamii bila ya kusababisha kutokuaminiana miongoni mwetu.
Tunapaswa kukaa pamoja na kuongelea kuhusu mfumo wa elimu, mahusiano kati ya vyama vya kisiasa na dola, mfumo wa uchaguzi na uwakilishi, nafasi ya vyama vya kiraia katika jamii yetu na suala zima la mila na tamaduni za kitaifa nayo ni muhimu yaka angaliwa upya kwa pamoja. Vilevile masuala ya uraia na siasa, suala heshima na maelewano ya kijamii na nafasi za viongozi wa kijamii katika uongozi wa nchi yetu.
Ni wazi kuwa hali ilivyo sasa ni ushahidi tosha kuwa wakati umefika sasa wa kuamua ni upi kati ya mfumo wa kibepari ama kijamaa tupaswao kuufuata na kwa faida ipi na njia zipi. Ni wazi kuwa bila ya uoga wowote tunapaswa kuliongelea suala la muungano ambalo kwa miaka sasa limekuwa kama donda liogopwalo kutibiwa ama hata kuguswa. Tunapaswa kulijadili sasa kuliko kuchelewa zaidi hadi kufika mahala chembe ya busara na uongozi thabiti iliyosalia, ikakosekana kabisa na kuacha chuki na dharau kuchukua mkondo kama dalili zinavyo onyesha.
Ni wazi kuwa tunapaswa kujadili suala la maadili katika jamii yetu kwa mapana yake na si hili la muono wa karibu wa siasa na biashara. Suala la maadili ni suala muhimu pia si tu kwa viongozi ambao wanapaswa kuwa kioo cha jamii lakini pia wananchi kwa ujumla. Hivi sasa jamii yetu inageuka jamii ya kichokoraa ambapo kila mtu akishindana na mwenzie kuvunja sheria za nchi na jamii kwa ujumla. Maadili sio suala la watoto na vijana wetu tu kama tulivyozoe. Ni suala la wazee, wazazi, viongozi wakuu na wadogo, matajiri na masikini, wenyeji na wageni, na watawala na watawaliwa.
Mfumo wa kisiasa nao unahitaji kufumwa upya ili kuwezesha demokrasia ya kweli kuweza kukomaa na kusaidia kujenga Tanzania yenye neema. Kamwe hili halitwezekana kama tutaendela na stili ya bandikabandua ambayo inalenga kulinda maslahi na nafsai za kundi fulani tu bila ya kujali mapungufu yanayotokana na staili hiyo ambayo yanamsabibishia mtanzania kuendelea kuishi katika maisha ya unyonge yasiyo na tija ya kimaendeleo.
Uamuzi wa kufanya mjadala huu wa kisiasa unapaswa kufikiwa sasa ili kuweza kutumia nafasi hii tuliyojikuta tunayo bila ya kuchelewa. Ni muhimu kufanikisha mjadala huo mapema ili kupelekea kutungwa kwa katiba mpya kabla ya mwaka 2010 itakayowezesha kuwa na uchaguzi ambao umefanyika chini ya mfumo mpya ulioshirikisha na kukubalika na watanzania wote. Tukawa na katiba ambayo itapata uhalali wa kila mtanzania aliye na haki ya kupiga kura.
Umuhimu wa kufanya hivyo unatokana na kuwa watanzania sasa zaidi ya wakati mwengine wowote wana shauku kubwa ya kuijenga nchi yao kwa uthabiti zaidi kama ari mpya inavyosomeka na wengi
Lakini vilevile ni muhimu kuamua sasa kwani siasa ni fani inayosifika kwa kubadili mwenendo wakati wowote ule. Kama uamuzi huo hautachukuliwa sasa na kutumia mazingira ya kisiasa na kijamii tuliyonayo sasa basi inaweza ikatokea hapo baadae hali ikawa mbaya zaidi na kulazimisha mabadiliko hayo yatokee baada ya kupitia njia mbadala ambayo itakuwa janga kubwa kwa taifa letu.
Tusingoje tufikie hali ya siasa za magomvi na chuki kama zilizowafikisha ndugu zetu wa Burundi, Sudan, Zaire (Kongo DRC), Siera Leone, Liberia walipofikia ndio tufikirie hilo. Na wala tusisubiri hali ya kutatanisha iliyojengwa katika upande mmoja wa muungano wetu yaani visiwa vya Unguja na Pemba ndipo tufikirie kufanya hilo.
Badala ya kuendelea kupoteza muda, fedha, na hata maisha ya watanzania, viongozi wetu wanaotaka kukumbukwa kwa mapendo na sio chuki dhidi yao na vizazi vyao hapo baadae, wanapaswa kuwa na uthubutu wa kushinikiza na kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhus hatima ya nchi yetu sasa bila ya kuechelewa zaidi.
Mjadala bora na wa kujenga, daima hufanyika pale wahusika wanapokuwa katika hali ya mapendo, maelewano na heshima miongoni mwao.
Wapo wanaodhani kuwa kuanzisha mjadala kama huu ni kufungulia matatizo ambayo yanaweza kushindikana kudhibitiwa.
Wapo wanaogopa kufungulia mabadiliko kwa kuwa wanaamini hali iliyopo sasa ni hali ya kupita tu na wataweza kubadili mwelekeo na ukawa unaoridhisha kwa upande wao.
Hawa wote kwa kweli wamesahau kusoma nyakati. Mwenendo uliopo sasa hautabadilika bila ya kuwa tayari kuchukua uamuzi thabiti wa kuanzisha mjadala wa kitaifa kuhusu masuala yote muhimu yanayotusibu.
Badala ya leo kuwa na mjadala wa kuwa na KADHI, kesho mjadala wa kuhamia Dodoma, kesho kushokutwa mjadala wa URAIA, mtondogoo mjadala wa Uongozi na Biashara, ni muhimu tukawa makini zaidi na kuanzisha mjadala wa kitaifa wa pamoja ambako haya yote na mengineyo yatajadiliwa kwa mpangilio madhumubuti na utakaopunguza mzigo kwa walipa kodi wa nchi yetu.
Ni mjadala wa kitaifa tu na sio maamuzi ya bandikabandua yanayolenga kulinda mfumo fisadi tulionao ndio yataweza kujenga Tanzania iliyo na neema kwa wote kama kauli mbiu ya chama tawala CCM.
Ni mjadala wa pamoja na sio ule wa wakubwa wachache tu utawezesha kuongeza utashi wa watanzania kulitumikia taifa lao kwa nguvu na uminifu zaidi. Ni utashi binafsi wa watanzania ndio utakaorudisha nidhamu binafsi na uzalendo miongoni mwa watanzania. Na bila ya kurudisha haya tutaendelea longolongo hadi kukuche lakini Tanzania bora kamwe haitawezekana.
Tanzania bora kwa wote itajengwa kwa kushirikisha watanzania wote bila ya ubaguzi wa aina yoyote na kamwe haitajengwa kwa mtindo wa mabadiliko ya bandikabandua kama tunaoendeleza sasa.
CCM iende, Tanzania ibaki…
Na Ilyas, O.S @ July 2008
Tangia serikali ya CCM kuamua kwa shingo upande kuanzisha mfumo wa siasa za vyama vingi hapa nchini kumekuwa na taharuki kubwa ndani ya chama hiki katika kuchagua kati ya maslahi ya nchi na maslahi ya chama. Hali hii imejengwa kutokana na sababu mbalimbali ndani na nje ya chama hicho. Moja ya sababu kuu ni kubadilika kwa falsafa na mantiki ya kisiasa ya chama hicho kutoka katika kumuendeleza mtanzania hadi
kulinda na kuendeleza maslahi na nafasi ya tabaka tawala.
Ni wazi kuwa CCM ililazimika kukubali mfumo wa vyama vingi sio kwa sababu waliamini ni njia muafaka ya kulinda amani na umoja wa kitaifa. Ni wazi kuwa waiamua kufanya hivyo baada ya kung’amua kuwa bila ya kufanya hivyo wakati wakati ule basi mbeleni wangelazimika kufanya hivyo kwa matakwa na shurutisho za umma. Hali ambayo ni wazi isingewapa nafasi waliyonayo sasa ambapo bado wameweza kuhodhi nguvu za kuzuia mabadiliko ya kweli ambayo hayahakikishi usalama wa nafasi ya tabaka tawala.
Hali hii ya kubadilika kwa mantiki ya kisiasa ya CCM kutoka kujenga na kuendeleza taifa hadi kulinda nafasi ya tabaka tawala naweza kusema ndio mzizi mkuu wa matatizo lukuki tunayokumbana nayo hivi sasa. CCM wamekuwa wakijali zaidi kulinda mfumo wa kisiasa na kiuchumi tulionao ili kuepusha uwezekano wa kutokea mabadiliko ambayo yatadhoofisha nafasi ya kiutawala hata kama uhalali wao utatetereka.
Matatizo hayo ni pamoja na yale mapya ya ufisadi, uongozi mbovu, ubaguzi wa kidini, kikabila, kimapato, kirangi na hata kimaeneo na mengine ya tangia zamani kama lile la la hali na hatma ya muungano wetu. Hivi sasa wapo wanaochukulia haya kama ndio matatizo haswa na kuamua kutumia muda mwingi kufikiria, kuongea na hata kulalama mfululizo kama vile kuna uwezekano wa kuyashinda majanga haya bila ya kuyafikiria kwa mapana yake. Wapo wafanyao kosa hili bila ya kujua lakini wapo ambao wanajua wazi kuwa hali ya kufikiri hivyo ni tatizo kwani kunawezesha kuendelea kwa mfumo tulionao sasa ambao wao ni wafaidika.
Suala la ufisadi ndilo limekuwa agenda kuu ya watanzania hivi sasa kiasi cha kufikia mahala ambapo ndio imekuwa kama taswira ya CCM miongoni mwa watanzania walio wengi, wana CCM na wasio wanaCCM. Bahati mbaya agenda hii ya UFISADI badala ya kutufanya watanzania tufikirie zaidi na zaidi inaelekea kuwa imeanza kutudumaza kifikira. Agenda ya UFISADI imekuwa kama kiongeza mwendo muhimu cha kufisadisha mustakabali wa Tanzania yetu badala ya kulitetea na kulilinda taifa letu.
Wapo wengi wanaoshangaa ni jinsi gani CCM imeshindwa kulishughulikia suala hili katika njia ambayo sio tu ingeweza kuliokoa taifa letu lakini pia kuokoa nafasi ya chama hicho katika utawala wa nchi. Wengi wanaamini kuwa CCM chini ya uongozi wa Jakaya Kikwete kwa kutumia nafasi yake kama mwenyekiti wake lakini zaidi rais wa dola la Tanzania, inaweza kabisa kuchukua hatua madhubuti kuondokana na janga hili.
Hata hivyo ni wazi kuwa wanaoamini hilo wanashindwa kutambua jambo moja muhimu. Kwamba Chama Cha Mapinduzi hakijabadili tu falsafa yake kutoka katika ujamaa na kujitegemea kuelekea kusikojulikana, lakini pia kimebadili hata mantiki ya kisiasa kutoka kujenga na kuendeleza taifa hadi sasa kuwa ni kulinda nafasi ya tabaka tawala. Tabaka linalojumuisha walio wanachama na wasio wanachama wa chama hiki. CCM ya sasa sio ile ya zamani inayoamini hakuna maisha yenye umuhimu kama Tanzania. CCM ya sasa inaamini kuwa maslahi ya tabaka tawala ambalo limehodhiwa na kuneemeshwa na UFISADI yana umuhimu zaidi ya Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
Ni kwa mantiki hii ndio sasa tunaona sio tu tumekuwa na ongwa la uongozi linalosababisha kushindwa kwa kuchukuliwa hatua dhidi ya wale wanaosadikiwa kuwa ni MAFISADI lakini pia sasa kuhatarisha hata muungano wetu ambao wapo walio apa kiapo cha kuulinda kwa hali yoyote ile.
Hivi karibuni kumekuwa na watu wakisema waziwazi na wengine ndani ya vikao vikuu vya CCM kuwa na tuachane na muungano. Wengi wao ni wale ambao agenda ya ufisadi imewakaba kooni hivyo wangelipenda kutumia kila njia kuondoa fokasi ya watanzania kutoka huko. Kwao wao ni bora muungano uende lakini madhambi yao yasahaulike, kwao wa ni bora Tanzania iende na CCM ibaki. Kwao wao Tanzania si chochote si lolote na CCM ndio kila kitu.
Inasikitisha na inatisha kuona kuwa hata wale walioapa mbele ya mungu na watanzania kuwa wataulinda muungano kwa nguvu zote ndio wanafikia kusema maneno kama acha muungano uende. Kwa maana nyingine wanasema acha Tanzania iende kwani ukikubali kuvunjika kwa muungano hakuna Tanzania. Inawezekana kutokana na mfumo wa muungano tulionao wapo wanaodhani kuwa tukirudisha Tanganyika bado tutabaki na Tanzania.
Inasikitisha sana kuwa watanzania tumefikishwa mahala kama hapa ambapo tupo tayari kuvunja nchi yetu ili mradi maslahi ya wachache yaendelee kulindwa. Inatisha mno kuona kuwa wafanyao haya ni wale ambao walibahatika kulelewa kwa misingi madhubuti ya muungano wetu. Yaani wale wa kizazi ambacho Mwalimu Nyerere alijitahidi kwa nguvu zake zote kukijenga katika fikira za utanzania zaidi ya yote. Hawa ndio wamekuwa wa kwanza kuusaliti muungano wetu.
Cha ajabu ni kuwa haohao wanaodiriki kusema wacha muungano uvunjike ndio kwa miaka wamekuwa mstari wa mbele kuwaita wale wanaojaribu kushauri njia muafaka za kushughulikia changamoto za muungano kuwa ni maadui wa muungano.
Katika hali kama hii ni wazi watanzania tunapaswa kujiuliza masuala kadhaa magumu yatakayotapatia majibu muhimu.
Hivi kama hawa wanafanya hivi itakuwaje kizazi chetu cha vijana wa sasa ambacho kimenyimwa malezi ya kitanzania na kukuzwa katika fikira za ubinafsi na ufisadi kitafanyaje ?
Jee, kukubali usaliti huu unaoendelea sasa wa kuthamini maslahi ya CCM zaidi ya TANZANIA yetu ndio kutatuwezesha kutatua matatizo na changamoto tulizonazo sasa?
Hivi ni kipi muhimu kati ya CCM na maslahi ya tabaka tawala ama Tanzania na maslahi ya watanzania ?
Wakati umefika wa watanzania kuamka na kuwaeleza wazi na kwa nguvu zote ndugu zetu hawa kuwa ni bora CCM iende lakini Tanzania ibaki. Uoga wao wa kuthubutu kuchukua maamuzi magumu ambayo yaweza kuhatarisha usalama wa maslahi yao lakini ukalinda na kundeleza ujenzi wa taifa letu hauna uhalali wa kuifikisha Tanzania yetu tulipoifikisha.
Wakati umefika kwa viongozi wetu ambao wangependa tuendelee kuwatofautisha wao na mafisadi mashuhuri tunaowanyoshea vidole sasa, kuthubutu kusimama kidete na kusema, ni bora CCM iende lakini Tanzania ibaki.
Tulimsaliti na tunaendelea kumsaliti Amina wetu….
I really thank u, from my heart, kuna vitu vingi ulinisaidia, kuna miongozo fulani, courage fulani na mambo mengine mengi, nimeona nikushukuru tu leo, asante na naappriciate as I said before, IT COMES FROM MY INSIDE, DEEPLY IN MY HEART, THANKS ONCE AGAIN, WISH U LUCKY, BE BLA$$ED. Amina chifupa mpakanjia.
Sender: +25577306944
Sent: 10:44:37
04/21/2007
Nimepigwa na butwaa, nimeishiwa na nguvu, sijui nifanyeje….najiuliza, hivi wapi ningelifanya zaidi na kwanini sikufanya mapema?
Hapo juu ni ujumbe alionitumia mtu ambaye karibia mwaka mmoja sasa nilimwita dada na yeye akaniita kaka. Ni Amina binti wa Chifupa. Huyu ni Amina niliye bahatika kumjua kwa kipindi cha karibia mwaka mmoja sasa. Katu sio Amina niliyekuwa nikijidai namjua miaka mitano kabla. Ni ujumbe ambao dada yangu amina alinitumia zaidi ya mara mbili katika usiku wa manane majira ya ughaibuni. Ni ujumbe ambao nilidharau kuujibu kwa siku mbili zaidi hadi Amina alipoamua kunipigia simu kunikumbusha kuhusu ujumbe huo. Sikujua kuwa ni ujumbe wa kwaheri ya milele.
Nakumbuka siku moja nikiwa mahala fulani naelekea nyumbani Tanzania nilimpigia simu rafiki yangu Zitto. Hii ilikuwa ni siku ambayo Rais Kikwete alihutubia Bunge letu kwa mara ya kwanza kama rais wa nne wa jamhuri yetu tukufu. Alitumia muda mwingi kunielezea ni jinsi gani alivyovutiwa na maudhui ya hotuba hiyo kitu ambacho kwa ninavyomjua rafiki yangu Zitto kilinishtua kiasi.
Katikati ya mazungumzo Zitto aliingiza suala la Amina. Akaniambia kuwa kwa muda mfupi aliofanya naye kazi anadhani kuwa Amina sio mtupu kama jamii inavyomtafsiri. Mimi nikamshauri kuwa jaribu kuwa naye karibu kumjua zaidi na kama kuna sehemu za kumsaidia basi asisite kufanya hilo kwa manufaa ya nchi yetu.
Mimi binafsi nilikuja kufunguliwa macho kutambua hazina iliyojificha ndani ya Amina siku alipopanda juu ya madhabahu ya kielemu katika ukumbi wa Nkurumah pale Chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Hii ilikuwa ni miezi ya mwanzo ya mwaka 2006.
Mbele yangu nilishuhudia Amina tofauti kabisa na yule ambaye jamii ikiongozwa na wana udaku walivyokuwa wakimtafsiri. Mbele yangu nilimuona kijana mdogo aliyejawa na ushujaa, upendo wa dhati kwa nchi yake na zaidi mwenye kipaji cha hali ya juu cha siasa. Mbele yangu nilimwona kijana ambaye sio tu amejawa na uthubutu wa kujaribu lakini pia aliyekuwa na ndoto ya kufanikisha mambo makubwa katika maisha yake.
Mara baada ya Amina na wakina dada wengine mashujaa waliokuwepo pale kumaliza kutoa ushuhuda wao kuhusu nafasi ya mwanamke katika siasa za nchi yetu, nililazimika kusimama ili nami nitoe ushuhuda wangu.
Nilianza kwa kumuomba radhi dada Amina. Bila ya kusita nilimtaka radhi kutokana na mimi kuwa mmoja wa wale watanzania waliokubali kuamini kashfa, uzandiki, na zaidi unyanyapaa ambao baadhi wanajamii walikuwa wakimfanyia.Baada ya hilo nikamuahidi urafiki naye ili tuweze kubadilishana mawazo na ujuzi ambao niliamini kwa upande wake ungeweza kumwongezea pale alipopungukiwa na mimi kuongeza pale nilopopungukiwa na vilevile kutimiza lengo langu la kusaidia vijana wenzangu haswa kina dada kama Amina kufanikiwa ndoto zao katika ushiriki wa kujenga taifa letu kwa pamoja.
Baada ya muda mfupi wa kujuana na zaidi kufaidika na tabia ya ucheshi na upendo mkubwa aliokuwa nao Amina, nikajikuta naongeza rafiki mwingine wa karibu katika maisha yangu ambaye kwa kweli alifikia kuwa mdogo wangu mpendwa.
Mdogo wangu ambaye leo nasikitika kuwa sikufanya vya kutosha kwake yeye kunishukuru kama alivyofanya katika ujumbe huo hapo juu.
Mdogo wangu ambaye namshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa nafasi ya kumtaka radhi kutokana na makosa niliyofanya hapo mwanzoni ya kumtafsiri vibaya.
Mdogo ambaye amenifundisha umuhimu wa kutowatafsiri na kuwahukumu watu ambao tunadhani tunawajua kumbe ukweli ni kuwa hatuwajui.
Mdogo ambaye alinifundisha kumpokea mtu kama alivyo na sio kama tunavyotaka sisi awe.
Mdogo ambaye kwa muda mfupi sana amenifunza mengi kuhusu dunia hii kuzidi hata niliyojifunza katika zaidi ya miaka ishirini niliyokaa darasani.
Muda uliruhusu machache kushauriana. Lakini katika muda huo kiduchu Amina alitokea kuwa mwalimu na mwanafunzi mzuri kwangu na mwenye kuthamini mawazo yangu kama ambavyo alivyokuwa akithamini na kutetea mawazo yake kwa uthabiti mkubwa. Amina hakuwa mtu wa kuburuzwa na wala kutishwa.
Ushahidi unaonyesha kuwa kadiri alivyokuwa akitishwa ndivyo alizidi kuwa na ushujaa wa kusimama na kuongea yale ambayo aliamini kuwa yanapaswa kusemwa bila ya kujali kama wale aliokuwa akiwasemea wanamshukuru ama kumdhihaki.
Siku moja nilikuwa nikipata nasaha za mzee mmoja ambaye alimjua mzazi wangu wakati akiwa hai. Mwishoni mwa mazungumzo aliniasa kitu kimoja. Mzee huyu aliniasa kuwa katika dunia yetu Mawalii huja kwa sura nyingi na mara nyingi huja katika sura ambayo wengi hawakutegemea na hivyo kushindwa kutambua bahati waliyoletewa na mwenyezi mungu hadi pale atakapotoweka. Waseme watakayosema lakini kwangu nathubutu kuamini kuwa Amina alikuwa ni walii aliyeletwa duniani kupima ubinadamu wetu na kutuelimisha mengi.Walii aliyekuja na ujumbe wa kuthubutu kupambana na moudhi yaliyoigubika jamii yetu bila ya woga.
Katika maisha yake tangia akiwa kigori hadi alipokabidhiwa majukumu makubwa ya kutetea maslahi ya vijana wenzake katika chama tawala, Amina amekumbwa na mengi. Kama ni mitihani basi ni wazi Amina alipata mitihani mikubwa sana. Mtihani mmojawapo ulikuwa ni ule wa wanajamii aliokuwa akiwapenda na kujitolea muhanga kuwatetea kujenga mazoea ya kumdharau, kumdhihaki, kumkejeli, kumbeza na zaidi kutomwamini katika katika uthabiti wake wa kutetea maslahi yao.
Wengi walikuwa wakimwona Amina kama mtu aliyekuwa amelewa na mafanikio. Wapo waliodhani kuwa Amina alikuwa akifurahia sana aina maisha aliyokuwa anakumbana nayo kila kukicha.
Masikini hawakujua kuwa ndani ya lile tabasamu murua lilojaa bashasha kulikuwa na mateso makubwa akilini na rohoni. Inasikitisha kuwa hata wale aliokuwa akiwaona kama kimbilio lake ndio kabisa hawakuweza kumpa nafasi ya kupunguza yaliyo rohoni.
Naamini kuwa kamwe sina haki ya kuwasema wanafamilia wake lakini nathubutu kuwasema wanajamii wengine wote. Hawa wakiwemo wanasiasa wenzake haswa wale wenziwe katika chama chake, waandishi wa habari, wanaharakati wa kijamii na hata wenzangu na mimi wasio na chao ambao Amina daima alikuwa akipenda kujinasabisha nao.
Kwa miaka mingi hawa wote nikiwemo na mimi tumekuwa tukimsaliti Amina kila kukicha. Wengi wetu tumekuwa tukimdharau, kumsimanga na hata kutengeneza na kushabikia maneno ya uzandiki ambayo yalikuwa yakitafuna furaha ya Amina kila uchao.
Wakati aliposimama kuwaongelea mamilioni ya watoto wa shule wanaotembea maili kadhaa bila ya viatu na wala uhakika wa kutia kitu tumboni siku nzima wawapo shuleni na hata wanaporudi nyumbani, tulimdhahaki na kumwambia anaongelea upuuzi. Eti amezidi umediocre. Aliposimama kuongelea maswahibu yanayowakuta watoto wa shule haswa katika wilaya za jiji la Dar es Salaam tulimwambia anataka kujijenga ili apate ubunge katika moja ya jimbo la jiji hilo. Waliodai kuwa ni jimbo lao hawakuacha kumtumia maonyo makalimakali.
Hata alipothubutu kusimama kuongelea manyang’au wanaojineemesha kwa kuwabebesha na kuwauzia maelfu wa vijana wenzetu sumu inayowamaliza kila siku, yaani madawa ya kulevya, tukamdhihaki kuwa ni mtoto mdogo hajui afanyalo. Wapo waliofikia kudai kuwa amefanya hivyo kumkomoa mumewe.
Ukweli ni kuwa hakuna aliyetaka kuamini kuwa ndani ya sura ile iliyojaa bashasha kuna uchungu wa dhati juu ya maslahi ya kijana mtanzania wa kawaida anayeathirika na hayo. Kijana wa kawaida ambaye tofauti na waheshimiwa wengine wengi katu Amina hakuacha kujinasabisha nao.
Mara dada yetu alipozimika kila mtu akaibuka kutafuta mchawi. Mara hili mara lile.
Kama kawaida ya wanadamu hakuna mwenye ubavu wa kuthubutu kujiangalia yeye binafsi ni vipi amechangia Dada yetu Amina kutuacha katika mazingira ambayo amefariki. Hakuna anayetka kung’amua ukweli kuwa wote kwa pamoja tulimsaliti Amina wetu. Wakati akituhitaji sisi tulikuwa tukimbeza na kumdharau. Wakati akihitaji mapendo yetu sisi tulimkejeli na kumzodoa.
Yote hayo aliyoyakusanya moyoni miaka nenda miaka rudi yakamalizwa kwa pigo la mwisho. Pigo ambalo lilimpelekea kuamini kuwa hata yule ambaye wazazi wake walitoa idhini ya kuwa mlinzi wa roho yake na mwili wake hapa duniani naye hakuweza kuwa naye pale alipokuwa akihitaji zaidi mapendao na uelewa zaidi. Na zaidi alipotaka kuyatoa yaliyokuwa yakimmaliza rohoni wapo waliothamini maslahi yao zaidi ya roho yake. Wote kwa pamoja tukaendela kumsaliti Amina wetu.
Inasikitisha zaidi kuona kuwa hata katika kifo chake tunaendelea kumsaliti Amina. Badala ya kujiuliza ni vipi tutaendeleza moto aliouwasha kuokoa vijana wenzetu na jamii yetu kwa ujumla, tunaendela kushabikia uzandiki, unafiki na udaku dhidi ya dada yetu Amina. Jamani tusitafute mchawi. Wengine walimalizia tu lakini sote tulimsaliti Amina wetu.
Kwa kweli natamani wote tungelimjua Amina wa kweli. Yule Amina niliyebahatika kumjua karibia mwaka mmoja tu kabla hajatuaga, Amina mwenye ucheshi wa haja. Amina mwenye nidhamu hata kwa wale aliokuwa akijua wanamdhihaki na kumdharau. Amina mwenye upendo wa kweli kwa watu wote, Amina asiyeogopa kusema na kufanya yale yote aliyoamini ni ya haki na yanapaswa kusemwa ama kutendwa. Amina mwenye uthubutu ambao wengi wetu tumeukosa. Amina nyota tuliyoizima hata kabla haijang'ara.
Mwenzenu natamani ningelifanya zaidi na zaidi kuonyesha urafiki wa kweli kwako dada yangu mpendwa Amina. Siamini kuwa eti nami sikuweza kuwa karibu nawe wakati ukihitaji zaidi urafiki wangu hata kwa uchanga wake. Amina dada yangu umetutoka lakini namshukuru mungu uliniaga kwa maneno ya upendo ingawa akati ule sikujua hilo.
Ni Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tu ndiye ajuaye kuondoka kwako kuna funzo gani kwetu. Watasema yote lakini jua kuwa tupo tuliobahatika kukuamini na kukuthamini kwa dhati hata kama muumba hakutupa muda mrefu wa kufanya mengi. Nasema tumebahatika kwani ni nadra kwa dunia yetu hii kupata bahati ya kuitwa rafiki na walii kama wewe. Cheche ulizowasha kamwe hazitaenda bure. Bendera tutaipeperusha hadi mwisho sio kwa maneno bali kwa vitendo.
Msalimie kaka Chachage. Mwambie akusomee hadithi ya makuwadi wa soko huria. Mwambie ndoto yake ya ukombozi wa mlalahoi wa Tanzania yetu baada ya miaka kadhaa ya unyang’au wa soko huria inaelekea kutotimizika hivi karibuni. Mwambie kuwa yule mswahili mlalahai mwenzio Jakaya anahitaji makarama zaidi kutoka kwake huko alipo ili aweze kutimiza yale matumaini aliyokuwa nayo kwake kabla hajatuaga na kutuacha wapweke pale mlimani.
Namalizia kwa kunukuu ujumbe wa taarifa ya kifo chako kutoka kwa rafiki yetu kipenzi Zitto: AMINA AMETUTOKA….
Sender: +25577306944
Sent: 10:44:37
04/21/2007
Nimepigwa na butwaa, nimeishiwa na nguvu, sijui nifanyeje….najiuliza, hivi wapi ningelifanya zaidi na kwanini sikufanya mapema?
Hapo juu ni ujumbe alionitumia mtu ambaye karibia mwaka mmoja sasa nilimwita dada na yeye akaniita kaka. Ni Amina binti wa Chifupa. Huyu ni Amina niliye bahatika kumjua kwa kipindi cha karibia mwaka mmoja sasa. Katu sio Amina niliyekuwa nikijidai namjua miaka mitano kabla. Ni ujumbe ambao dada yangu amina alinitumia zaidi ya mara mbili katika usiku wa manane majira ya ughaibuni. Ni ujumbe ambao nilidharau kuujibu kwa siku mbili zaidi hadi Amina alipoamua kunipigia simu kunikumbusha kuhusu ujumbe huo. Sikujua kuwa ni ujumbe wa kwaheri ya milele.
Nakumbuka siku moja nikiwa mahala fulani naelekea nyumbani Tanzania nilimpigia simu rafiki yangu Zitto. Hii ilikuwa ni siku ambayo Rais Kikwete alihutubia Bunge letu kwa mara ya kwanza kama rais wa nne wa jamhuri yetu tukufu. Alitumia muda mwingi kunielezea ni jinsi gani alivyovutiwa na maudhui ya hotuba hiyo kitu ambacho kwa ninavyomjua rafiki yangu Zitto kilinishtua kiasi.
Katikati ya mazungumzo Zitto aliingiza suala la Amina. Akaniambia kuwa kwa muda mfupi aliofanya naye kazi anadhani kuwa Amina sio mtupu kama jamii inavyomtafsiri. Mimi nikamshauri kuwa jaribu kuwa naye karibu kumjua zaidi na kama kuna sehemu za kumsaidia basi asisite kufanya hilo kwa manufaa ya nchi yetu.
Mimi binafsi nilikuja kufunguliwa macho kutambua hazina iliyojificha ndani ya Amina siku alipopanda juu ya madhabahu ya kielemu katika ukumbi wa Nkurumah pale Chuo kikuu cha Dar Es Salaam. Hii ilikuwa ni miezi ya mwanzo ya mwaka 2006.
Mbele yangu nilishuhudia Amina tofauti kabisa na yule ambaye jamii ikiongozwa na wana udaku walivyokuwa wakimtafsiri. Mbele yangu nilimuona kijana mdogo aliyejawa na ushujaa, upendo wa dhati kwa nchi yake na zaidi mwenye kipaji cha hali ya juu cha siasa. Mbele yangu nilimwona kijana ambaye sio tu amejawa na uthubutu wa kujaribu lakini pia aliyekuwa na ndoto ya kufanikisha mambo makubwa katika maisha yake.
Mara baada ya Amina na wakina dada wengine mashujaa waliokuwepo pale kumaliza kutoa ushuhuda wao kuhusu nafasi ya mwanamke katika siasa za nchi yetu, nililazimika kusimama ili nami nitoe ushuhuda wangu.
Nilianza kwa kumuomba radhi dada Amina. Bila ya kusita nilimtaka radhi kutokana na mimi kuwa mmoja wa wale watanzania waliokubali kuamini kashfa, uzandiki, na zaidi unyanyapaa ambao baadhi wanajamii walikuwa wakimfanyia.Baada ya hilo nikamuahidi urafiki naye ili tuweze kubadilishana mawazo na ujuzi ambao niliamini kwa upande wake ungeweza kumwongezea pale alipopungukiwa na mimi kuongeza pale nilopopungukiwa na vilevile kutimiza lengo langu la kusaidia vijana wenzangu haswa kina dada kama Amina kufanikiwa ndoto zao katika ushiriki wa kujenga taifa letu kwa pamoja.
Baada ya muda mfupi wa kujuana na zaidi kufaidika na tabia ya ucheshi na upendo mkubwa aliokuwa nao Amina, nikajikuta naongeza rafiki mwingine wa karibu katika maisha yangu ambaye kwa kweli alifikia kuwa mdogo wangu mpendwa.
Mdogo wangu ambaye leo nasikitika kuwa sikufanya vya kutosha kwake yeye kunishukuru kama alivyofanya katika ujumbe huo hapo juu.
Mdogo wangu ambaye namshukuru mwenyezi mungu kwa kunipa nafasi ya kumtaka radhi kutokana na makosa niliyofanya hapo mwanzoni ya kumtafsiri vibaya.
Mdogo ambaye amenifundisha umuhimu wa kutowatafsiri na kuwahukumu watu ambao tunadhani tunawajua kumbe ukweli ni kuwa hatuwajui.
Mdogo ambaye alinifundisha kumpokea mtu kama alivyo na sio kama tunavyotaka sisi awe.
Mdogo ambaye kwa muda mfupi sana amenifunza mengi kuhusu dunia hii kuzidi hata niliyojifunza katika zaidi ya miaka ishirini niliyokaa darasani.
Muda uliruhusu machache kushauriana. Lakini katika muda huo kiduchu Amina alitokea kuwa mwalimu na mwanafunzi mzuri kwangu na mwenye kuthamini mawazo yangu kama ambavyo alivyokuwa akithamini na kutetea mawazo yake kwa uthabiti mkubwa. Amina hakuwa mtu wa kuburuzwa na wala kutishwa.
Ushahidi unaonyesha kuwa kadiri alivyokuwa akitishwa ndivyo alizidi kuwa na ushujaa wa kusimama na kuongea yale ambayo aliamini kuwa yanapaswa kusemwa bila ya kujali kama wale aliokuwa akiwasemea wanamshukuru ama kumdhihaki.
Siku moja nilikuwa nikipata nasaha za mzee mmoja ambaye alimjua mzazi wangu wakati akiwa hai. Mwishoni mwa mazungumzo aliniasa kitu kimoja. Mzee huyu aliniasa kuwa katika dunia yetu Mawalii huja kwa sura nyingi na mara nyingi huja katika sura ambayo wengi hawakutegemea na hivyo kushindwa kutambua bahati waliyoletewa na mwenyezi mungu hadi pale atakapotoweka. Waseme watakayosema lakini kwangu nathubutu kuamini kuwa Amina alikuwa ni walii aliyeletwa duniani kupima ubinadamu wetu na kutuelimisha mengi.Walii aliyekuja na ujumbe wa kuthubutu kupambana na moudhi yaliyoigubika jamii yetu bila ya woga.
Katika maisha yake tangia akiwa kigori hadi alipokabidhiwa majukumu makubwa ya kutetea maslahi ya vijana wenzake katika chama tawala, Amina amekumbwa na mengi. Kama ni mitihani basi ni wazi Amina alipata mitihani mikubwa sana. Mtihani mmojawapo ulikuwa ni ule wa wanajamii aliokuwa akiwapenda na kujitolea muhanga kuwatetea kujenga mazoea ya kumdharau, kumdhihaki, kumkejeli, kumbeza na zaidi kutomwamini katika katika uthabiti wake wa kutetea maslahi yao.
Wengi walikuwa wakimwona Amina kama mtu aliyekuwa amelewa na mafanikio. Wapo waliodhani kuwa Amina alikuwa akifurahia sana aina maisha aliyokuwa anakumbana nayo kila kukicha.
Masikini hawakujua kuwa ndani ya lile tabasamu murua lilojaa bashasha kulikuwa na mateso makubwa akilini na rohoni. Inasikitisha kuwa hata wale aliokuwa akiwaona kama kimbilio lake ndio kabisa hawakuweza kumpa nafasi ya kupunguza yaliyo rohoni.
Naamini kuwa kamwe sina haki ya kuwasema wanafamilia wake lakini nathubutu kuwasema wanajamii wengine wote. Hawa wakiwemo wanasiasa wenzake haswa wale wenziwe katika chama chake, waandishi wa habari, wanaharakati wa kijamii na hata wenzangu na mimi wasio na chao ambao Amina daima alikuwa akipenda kujinasabisha nao.
Kwa miaka mingi hawa wote nikiwemo na mimi tumekuwa tukimsaliti Amina kila kukicha. Wengi wetu tumekuwa tukimdharau, kumsimanga na hata kutengeneza na kushabikia maneno ya uzandiki ambayo yalikuwa yakitafuna furaha ya Amina kila uchao.
Wakati aliposimama kuwaongelea mamilioni ya watoto wa shule wanaotembea maili kadhaa bila ya viatu na wala uhakika wa kutia kitu tumboni siku nzima wawapo shuleni na hata wanaporudi nyumbani, tulimdhahaki na kumwambia anaongelea upuuzi. Eti amezidi umediocre. Aliposimama kuongelea maswahibu yanayowakuta watoto wa shule haswa katika wilaya za jiji la Dar es Salaam tulimwambia anataka kujijenga ili apate ubunge katika moja ya jimbo la jiji hilo. Waliodai kuwa ni jimbo lao hawakuacha kumtumia maonyo makalimakali.
Hata alipothubutu kusimama kuongelea manyang’au wanaojineemesha kwa kuwabebesha na kuwauzia maelfu wa vijana wenzetu sumu inayowamaliza kila siku, yaani madawa ya kulevya, tukamdhihaki kuwa ni mtoto mdogo hajui afanyalo. Wapo waliofikia kudai kuwa amefanya hivyo kumkomoa mumewe.
Ukweli ni kuwa hakuna aliyetaka kuamini kuwa ndani ya sura ile iliyojaa bashasha kuna uchungu wa dhati juu ya maslahi ya kijana mtanzania wa kawaida anayeathirika na hayo. Kijana wa kawaida ambaye tofauti na waheshimiwa wengine wengi katu Amina hakuacha kujinasabisha nao.
Mara dada yetu alipozimika kila mtu akaibuka kutafuta mchawi. Mara hili mara lile.
Kama kawaida ya wanadamu hakuna mwenye ubavu wa kuthubutu kujiangalia yeye binafsi ni vipi amechangia Dada yetu Amina kutuacha katika mazingira ambayo amefariki. Hakuna anayetka kung’amua ukweli kuwa wote kwa pamoja tulimsaliti Amina wetu. Wakati akituhitaji sisi tulikuwa tukimbeza na kumdharau. Wakati akihitaji mapendo yetu sisi tulimkejeli na kumzodoa.
Yote hayo aliyoyakusanya moyoni miaka nenda miaka rudi yakamalizwa kwa pigo la mwisho. Pigo ambalo lilimpelekea kuamini kuwa hata yule ambaye wazazi wake walitoa idhini ya kuwa mlinzi wa roho yake na mwili wake hapa duniani naye hakuweza kuwa naye pale alipokuwa akihitaji zaidi mapendao na uelewa zaidi. Na zaidi alipotaka kuyatoa yaliyokuwa yakimmaliza rohoni wapo waliothamini maslahi yao zaidi ya roho yake. Wote kwa pamoja tukaendela kumsaliti Amina wetu.
Inasikitisha zaidi kuona kuwa hata katika kifo chake tunaendelea kumsaliti Amina. Badala ya kujiuliza ni vipi tutaendeleza moto aliouwasha kuokoa vijana wenzetu na jamii yetu kwa ujumla, tunaendela kushabikia uzandiki, unafiki na udaku dhidi ya dada yetu Amina. Jamani tusitafute mchawi. Wengine walimalizia tu lakini sote tulimsaliti Amina wetu.
Kwa kweli natamani wote tungelimjua Amina wa kweli. Yule Amina niliyebahatika kumjua karibia mwaka mmoja tu kabla hajatuaga, Amina mwenye ucheshi wa haja. Amina mwenye nidhamu hata kwa wale aliokuwa akijua wanamdhihaki na kumdharau. Amina mwenye upendo wa kweli kwa watu wote, Amina asiyeogopa kusema na kufanya yale yote aliyoamini ni ya haki na yanapaswa kusemwa ama kutendwa. Amina mwenye uthubutu ambao wengi wetu tumeukosa. Amina nyota tuliyoizima hata kabla haijang'ara.
Mwenzenu natamani ningelifanya zaidi na zaidi kuonyesha urafiki wa kweli kwako dada yangu mpendwa Amina. Siamini kuwa eti nami sikuweza kuwa karibu nawe wakati ukihitaji zaidi urafiki wangu hata kwa uchanga wake. Amina dada yangu umetutoka lakini namshukuru mungu uliniaga kwa maneno ya upendo ingawa akati ule sikujua hilo.
Ni Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema tu ndiye ajuaye kuondoka kwako kuna funzo gani kwetu. Watasema yote lakini jua kuwa tupo tuliobahatika kukuamini na kukuthamini kwa dhati hata kama muumba hakutupa muda mrefu wa kufanya mengi. Nasema tumebahatika kwani ni nadra kwa dunia yetu hii kupata bahati ya kuitwa rafiki na walii kama wewe. Cheche ulizowasha kamwe hazitaenda bure. Bendera tutaipeperusha hadi mwisho sio kwa maneno bali kwa vitendo.
Msalimie kaka Chachage. Mwambie akusomee hadithi ya makuwadi wa soko huria. Mwambie ndoto yake ya ukombozi wa mlalahoi wa Tanzania yetu baada ya miaka kadhaa ya unyang’au wa soko huria inaelekea kutotimizika hivi karibuni. Mwambie kuwa yule mswahili mlalahai mwenzio Jakaya anahitaji makarama zaidi kutoka kwake huko alipo ili aweze kutimiza yale matumaini aliyokuwa nayo kwake kabla hajatuaga na kutuacha wapweke pale mlimani.
Namalizia kwa kunukuu ujumbe wa taarifa ya kifo chako kutoka kwa rafiki yetu kipenzi Zitto: AMINA AMETUTOKA….
WAANDISHI WETU NA UKUWADI WA UNYANG'AU
@14th July 2006, Published by Tanzania Daima Newspaper.
Comrade Chachage aliwaita makuwadi wa soko huria, mimi nawaita makuwadi wa unyang’au. Makala hii niliandika miezi mingi iliyopita lakini mengi yalinisababisha kutoiwakilisha kwa wapendwa watanzania. Kutangulia kwa kaka yangu na mwalimu wangu wa fikra changanuzi, kumenipa nguvu za kuwasilisha hoja yangu kwa watanzania, wanyonyaji kwa wanyoge.
Neno manyang’au lina tafsiri mbalimbali katika macho ya watanzania. Kwangu mimi unyang’au ni ile hali ya kufikiri na kutenda mambo ambayo yanaathiri mustakabali mzima wa mwananchi wa kawaida. Manyang’au ni wale wote wanaotenda mambo mbalimbali kwa maslahi ya uchu wao pekee bila ya kujali madhara makubwa ya matendo hayo kwa jamii.
Hawa ni wale walio katika nafasi zote na haswa za juu za kutoa maamuzi serikalini, kwenye vyama vya kisiasa na katika makundi mengine ya kijamii. Hapa nchini mwetu utawakuta katika kila pembe ya maisha yetu. Wapo wenye nguvu kisheria kuwemo katika kundi hilo na wapo walioweza kujipenyeza humo kwa kutumia mbinu mbalimbali kama vile uwezo wa kiuchumi na nafasi zao katika makundi ya kijamii.
Manyang’au wapo wakubwa na wadogo. Wapo wa kutoka nje na wapo wengi tunaotoka nao katika nchi yetu hii hii iliyojaa harufu na ladha ya umasikini wa kutupwa.
Unyang’au ni mfumo rasmi katika jamii yetu ukiwa na baraka za kisheria kama zile za takrima na nyinginezo nyingi.
Makuwadi wa unyang’au ni wengi na wapo katika sekta zote za kisiasa, kiuchumi na kijamii katika nchi yetu. Wapo wanaojiita wafanyabiashara, wapo wanaojiita makada, wapo wanaojiita wasomi, wapo wanaojiita watumishi wa serikali na wengine wengi.
Wapo ambao wanafaidika kweli na unyang’au huo na wapo wale wanaodhani kuwa wanafaidika lakini kumbe wakipatacho ni makombo tu.
Wapo wanaojiona kuwa wanakundi halali katika mfumo wa kinyang’au na wapo waliomo humo kwa kujipendekeza na kuifaragua. Wapo waliomo humo kwa kupenda na wapo waliojikuta humo bila ya wao kujijua. Wakiulizwa wanadai ni kulazimika kutokana na mazingira yaliyopo.
Hawa wote wamekuwa tayari kuuza uwezo na ujuzi wao kifikira na kikazi kutetea, kusadifu na kulinda mfumo unaohalalisha unyang’au katika jamii yetu. Wengi wamekuwa wakifanya hivyo kwa kudhani kuwa wanaenda na wakati ambao unashurutisha kila mmoja wao kuwa na “mahusiano mazuri” na manyang’au wa nchi yetu na wale kutoka nje ya mipaka yetu.
Kwao wao, ili kuwa na kile wakionacho ni mafanikio kimaisha, ni lazima wajitumikishe kwa manyng’au wa nchi hii ambao wengi wao wana nguvu za ushawishi katika dola la nchi yetu.
Moja ya sifa ya pamoja ya ndugu zangu hao walio amua kukuwadia unyang’au ni kutoacha kulalamika kuhusu masahibu ya unyang’au katika jamii lakini kwa upande mwingine wanageuka kuwa ndio wasadifu na walinzi mahiri wa mfumo sababishi.Hapo mbeleni tutawachambua wote kwa makundi yao, katika makala hii ningependa kuongelea makuwadi waliomo katika sekta ya uandishi wa habari.
Fani ya uandishi ya habari ni moja ya nguzo muhimu za kiutawala ambazo jamii yoyote inayothamini umuhimu wa mfumo wa demokrasia inapaswa kuipa kipaumbela na umuhimu wa hali ya juu. Bahati mbaya katika Tanzania yetu fani hii imegeuka kuwa adui mkubwa wa demokrasia ya kweli na hata kutishia hatima ya mchakato mzima wa kuanzisha na kuboresha misingi ya kidemokrasia katika jamii yetu.
Kwa miaka mingi sasa, wachunguzi wa mambo ya siasa na jamii wamekuwa wakijadili nafasi ya fani ya uandishi wa habari katika nchi yetu. Wengi wamekuwa wakihoji uwezo wa wahusika wa fani hii. Wengi wamekuwa wakijaribu kuchambua uwezo wa kitaaluma wa wengi wa waandishi wetu ambao wameonekana kana kwamba huwa wakifanya kazi hiyo bila ya kuwa na sifa za kitaalamu zinazohitajika katika fani hiyo.
Kwa kweli ukiangalia historia ya nchi yetu na zaidi sera za serikali yetu kuhusiana na suala zima la elimu na sio katika fani ya uandishi wa habari tu, utang’amua kuwa mfumo mbovu wakutojali elimu bora ni moja ya sababu kuu ya tatizo hilo. Hata hivyo ukosefu wa nia thabiti, utashi wa kutetea haki zao na hata uzalendo wa kweli, ndugu zangu waandishi wa habari ambao mimi huwaita wahandisi wa habari, wamegeuka kuwa makuwadi wa unyang’au unaoendelea kuligubika taifa letu.
Ndugu zangu hawa ama kwa kupenda au kulazimika kimazingira wamegeuka kuwa watetezi na waficha maovu ya manyang’au wa nje na wa ndani.
Ndugu zangu hawa wameamua kuwa wasadifu wa manyang’au wa nchi yetu na mfumo wao. Kazi yao kubwa imekuwa ni kuhalalisha na kuusimika mfumo wa kinyang’au uliojengeka katika nchi yetu katika fikira za watanzania.
Waandishi wetu wamekuwa tayari kuwapaka rangi za kuvutia baadhi ya manyang’au wa nchi hii, wakubwa wao kwa wadogo, na kuwavika sura ya utakatifu mbele ya watanzania walio wengi.
Wakati vyama vya upinzani vikiwa vimenyang’anywa nguvu za kutekeleza ipasavyo jukumu kukosoa na kuwaeleza wananchi ubaya ama uwongo wakubwa wa mfumo wetu wa kinyang’au, ndugu zangu waandishi wameamua kuwaacha watanzania katika msitu wa giza.
Wanahabari wetu wanapaswa kujua kuwa ushabiki wa ajabu wanao uonyesha kwa watawala wetu ambao miongoni mwao wamelewa utamaduni wa kuwadhulumu watanzania haki zao za msingi, unalipeleka taifa letu katika mustakabali wa kutisha.
Ni wazi kuwa kama ndugu zetu wanahabari hawatazinduka na kuanza kutekeleza kwa dhati wajibu wao kwa wananchi, kuna hatari ya wajanjawajanja miongoni mwetu kutulazimisha kurudi rasmi katika enzi za siasa za chama kimoja.
Wakati wa uchaguzi na mchakato mzima ndani ya vyama kuelekea katika uchaguzi huo, tulishuhudia jinsi kujitokeza wazi kwa hali hii ya ukuwadi miongoni mwa ndugu zangu.
Mwanzoni wengi wetu tulidhani kuwa hilo lilikuwa ni zoezi muda mfupi la wachache kujipenyeza katika timu ya ushindi na wengine kutimiza wajibu wao kutoka kwa wafadhili wao waliogeuka kuwa waajiri mbadala wao.
Lakini kwa hali inavyoendelea hivi sasa, inaelekea uozo uliopo ambao tayari umeshatanda katika nyanja zote za fani hii ya uandishi. Hii ni kuanzia wamililiki, waajiri, wahariri, waandishi wa kawaida na hata wasomaji umesababisha donda ndugu ambalo linaweza likashindwa kutibika.
Wapo waliofikia hata kubeza na kudhihaki juhudi za wachache waliokubali kuchukua jukumu la kuendeleza mapambano ya kutukomboa katika mfumo butu wa utawala wa chama kimoja. Tabia hii ya kuwakuwadia manyang’au kwa kutumia wino ni kuwageuza watanzania kuwa kama bendera inayofuata upepo ambayo haina uwezo wa kuhoji maamuzi yanayobariki unyang’au katika jamii yetu.
Kukuwadia unyang’au wa aina yoyote na mahala popote ni kujidanganya nafsi zetu. Sumu ya unyang’au kamwe haiachi kumdhuru kila mtu katika jamii husika na hata ile ya mbali. Hata kama madhara yake hayataonekana kwa mhusika binafsi wakati wa uhai wake, ni lazima itamsibu huko aendako kupitia kwa vizazi vyake.
Hivyo, ni wajibu wa ndugu zangu waandishi wa habari kuwa wa mwanzo kujinasua katika laana ya unyang’au kwa kuacha kuwakuwadia makuwadi wetu, wa ndani na nje na kuwaonya wengine wa aina yao katika sekta zengine.
Comrade Chachage aliwaita makuwadi wa soko huria, mimi nawaita makuwadi wa unyang’au. Makala hii niliandika miezi mingi iliyopita lakini mengi yalinisababisha kutoiwakilisha kwa wapendwa watanzania. Kutangulia kwa kaka yangu na mwalimu wangu wa fikra changanuzi, kumenipa nguvu za kuwasilisha hoja yangu kwa watanzania, wanyonyaji kwa wanyoge.
Neno manyang’au lina tafsiri mbalimbali katika macho ya watanzania. Kwangu mimi unyang’au ni ile hali ya kufikiri na kutenda mambo ambayo yanaathiri mustakabali mzima wa mwananchi wa kawaida. Manyang’au ni wale wote wanaotenda mambo mbalimbali kwa maslahi ya uchu wao pekee bila ya kujali madhara makubwa ya matendo hayo kwa jamii.
Hawa ni wale walio katika nafasi zote na haswa za juu za kutoa maamuzi serikalini, kwenye vyama vya kisiasa na katika makundi mengine ya kijamii. Hapa nchini mwetu utawakuta katika kila pembe ya maisha yetu. Wapo wenye nguvu kisheria kuwemo katika kundi hilo na wapo walioweza kujipenyeza humo kwa kutumia mbinu mbalimbali kama vile uwezo wa kiuchumi na nafasi zao katika makundi ya kijamii.
Manyang’au wapo wakubwa na wadogo. Wapo wa kutoka nje na wapo wengi tunaotoka nao katika nchi yetu hii hii iliyojaa harufu na ladha ya umasikini wa kutupwa.
Unyang’au ni mfumo rasmi katika jamii yetu ukiwa na baraka za kisheria kama zile za takrima na nyinginezo nyingi.
Makuwadi wa unyang’au ni wengi na wapo katika sekta zote za kisiasa, kiuchumi na kijamii katika nchi yetu. Wapo wanaojiita wafanyabiashara, wapo wanaojiita makada, wapo wanaojiita wasomi, wapo wanaojiita watumishi wa serikali na wengine wengi.
Wapo ambao wanafaidika kweli na unyang’au huo na wapo wale wanaodhani kuwa wanafaidika lakini kumbe wakipatacho ni makombo tu.
Wapo wanaojiona kuwa wanakundi halali katika mfumo wa kinyang’au na wapo waliomo humo kwa kujipendekeza na kuifaragua. Wapo waliomo humo kwa kupenda na wapo waliojikuta humo bila ya wao kujijua. Wakiulizwa wanadai ni kulazimika kutokana na mazingira yaliyopo.
Hawa wote wamekuwa tayari kuuza uwezo na ujuzi wao kifikira na kikazi kutetea, kusadifu na kulinda mfumo unaohalalisha unyang’au katika jamii yetu. Wengi wamekuwa wakifanya hivyo kwa kudhani kuwa wanaenda na wakati ambao unashurutisha kila mmoja wao kuwa na “mahusiano mazuri” na manyang’au wa nchi yetu na wale kutoka nje ya mipaka yetu.
Kwao wao, ili kuwa na kile wakionacho ni mafanikio kimaisha, ni lazima wajitumikishe kwa manyng’au wa nchi hii ambao wengi wao wana nguvu za ushawishi katika dola la nchi yetu.
Moja ya sifa ya pamoja ya ndugu zangu hao walio amua kukuwadia unyang’au ni kutoacha kulalamika kuhusu masahibu ya unyang’au katika jamii lakini kwa upande mwingine wanageuka kuwa ndio wasadifu na walinzi mahiri wa mfumo sababishi.Hapo mbeleni tutawachambua wote kwa makundi yao, katika makala hii ningependa kuongelea makuwadi waliomo katika sekta ya uandishi wa habari.
Fani ya uandishi ya habari ni moja ya nguzo muhimu za kiutawala ambazo jamii yoyote inayothamini umuhimu wa mfumo wa demokrasia inapaswa kuipa kipaumbela na umuhimu wa hali ya juu. Bahati mbaya katika Tanzania yetu fani hii imegeuka kuwa adui mkubwa wa demokrasia ya kweli na hata kutishia hatima ya mchakato mzima wa kuanzisha na kuboresha misingi ya kidemokrasia katika jamii yetu.
Kwa miaka mingi sasa, wachunguzi wa mambo ya siasa na jamii wamekuwa wakijadili nafasi ya fani ya uandishi wa habari katika nchi yetu. Wengi wamekuwa wakihoji uwezo wa wahusika wa fani hii. Wengi wamekuwa wakijaribu kuchambua uwezo wa kitaaluma wa wengi wa waandishi wetu ambao wameonekana kana kwamba huwa wakifanya kazi hiyo bila ya kuwa na sifa za kitaalamu zinazohitajika katika fani hiyo.
Kwa kweli ukiangalia historia ya nchi yetu na zaidi sera za serikali yetu kuhusiana na suala zima la elimu na sio katika fani ya uandishi wa habari tu, utang’amua kuwa mfumo mbovu wakutojali elimu bora ni moja ya sababu kuu ya tatizo hilo. Hata hivyo ukosefu wa nia thabiti, utashi wa kutetea haki zao na hata uzalendo wa kweli, ndugu zangu waandishi wa habari ambao mimi huwaita wahandisi wa habari, wamegeuka kuwa makuwadi wa unyang’au unaoendelea kuligubika taifa letu.
Ndugu zangu hawa ama kwa kupenda au kulazimika kimazingira wamegeuka kuwa watetezi na waficha maovu ya manyang’au wa nje na wa ndani.
Ndugu zangu hawa wameamua kuwa wasadifu wa manyang’au wa nchi yetu na mfumo wao. Kazi yao kubwa imekuwa ni kuhalalisha na kuusimika mfumo wa kinyang’au uliojengeka katika nchi yetu katika fikira za watanzania.
Waandishi wetu wamekuwa tayari kuwapaka rangi za kuvutia baadhi ya manyang’au wa nchi hii, wakubwa wao kwa wadogo, na kuwavika sura ya utakatifu mbele ya watanzania walio wengi.
Wakati vyama vya upinzani vikiwa vimenyang’anywa nguvu za kutekeleza ipasavyo jukumu kukosoa na kuwaeleza wananchi ubaya ama uwongo wakubwa wa mfumo wetu wa kinyang’au, ndugu zangu waandishi wameamua kuwaacha watanzania katika msitu wa giza.
Wanahabari wetu wanapaswa kujua kuwa ushabiki wa ajabu wanao uonyesha kwa watawala wetu ambao miongoni mwao wamelewa utamaduni wa kuwadhulumu watanzania haki zao za msingi, unalipeleka taifa letu katika mustakabali wa kutisha.
Ni wazi kuwa kama ndugu zetu wanahabari hawatazinduka na kuanza kutekeleza kwa dhati wajibu wao kwa wananchi, kuna hatari ya wajanjawajanja miongoni mwetu kutulazimisha kurudi rasmi katika enzi za siasa za chama kimoja.
Wakati wa uchaguzi na mchakato mzima ndani ya vyama kuelekea katika uchaguzi huo, tulishuhudia jinsi kujitokeza wazi kwa hali hii ya ukuwadi miongoni mwa ndugu zangu.
Mwanzoni wengi wetu tulidhani kuwa hilo lilikuwa ni zoezi muda mfupi la wachache kujipenyeza katika timu ya ushindi na wengine kutimiza wajibu wao kutoka kwa wafadhili wao waliogeuka kuwa waajiri mbadala wao.
Lakini kwa hali inavyoendelea hivi sasa, inaelekea uozo uliopo ambao tayari umeshatanda katika nyanja zote za fani hii ya uandishi. Hii ni kuanzia wamililiki, waajiri, wahariri, waandishi wa kawaida na hata wasomaji umesababisha donda ndugu ambalo linaweza likashindwa kutibika.
Wapo waliofikia hata kubeza na kudhihaki juhudi za wachache waliokubali kuchukua jukumu la kuendeleza mapambano ya kutukomboa katika mfumo butu wa utawala wa chama kimoja. Tabia hii ya kuwakuwadia manyang’au kwa kutumia wino ni kuwageuza watanzania kuwa kama bendera inayofuata upepo ambayo haina uwezo wa kuhoji maamuzi yanayobariki unyang’au katika jamii yetu.
Kukuwadia unyang’au wa aina yoyote na mahala popote ni kujidanganya nafsi zetu. Sumu ya unyang’au kamwe haiachi kumdhuru kila mtu katika jamii husika na hata ile ya mbali. Hata kama madhara yake hayataonekana kwa mhusika binafsi wakati wa uhai wake, ni lazima itamsibu huko aendako kupitia kwa vizazi vyake.
Hivyo, ni wajibu wa ndugu zangu waandishi wa habari kuwa wa mwanzo kujinasua katika laana ya unyang’au kwa kuacha kuwakuwadia makuwadi wetu, wa ndani na nje na kuwaonya wengine wa aina yao katika sekta zengine.
MWANZO WA SAFARI YA MWISHO YA CCM
@2005..Published by by a local Tanzania Newspaper
Ni ukweli usiopingika kuwa matokeo ya uchaguzi wa mgombea wa nafasi ya urais katika Chama Cha Mapinduzi yameweza kuliepusha kundi hili kisiasa katika hatari ya kugawanyika kwa kasi kama ilivyokuwa ikionekana awali.
Naongelea dhana ya kugawanyika kwa kasi tu, kwa kuwa nina uhakika kuwa mwenendo mzima wa siasa za uchaguzi huo na mambo kadhaa yaliyojitokeza katika siku za mwisho za shughuli hizo ndani ya chama hicho, zimeleta mgawanyiko mkubwa na wa hatari zaidi utakaodumu daima.
Hata kama kwa njia za ajabu mno ndugu hawa wameweza kumchagua mtu ambaye kwa maoni yao wana uhakika wa kuendelea kutawala watazania kwa miongo kadhaa ijayo.
Ni wazi kuwa CCM ya sasa si ile tena iliyokuwa ikiwavutia watu kwa utulivu wake, uongozi wa kufuata maadili ya utanzania, falsafa zake zenye kujali utu, kupinga ubaguzi na mengineyo mengi mazuri yaliyokuwa yakitofautisha chama hiki na makundi mengine ya kisiasa.
Chama cha mapinduzi kama ilivyo kwa vyama vingine vikubwa tawala barani afrika, kimepitia mabadiliko mbalimbali hadi kufikia sasa.Mabadiliko hayo yameanzia kutoka kuwa chama cha ukombozi, kikaja kuwa chama cha kujenga utaifa na baadaye kuwa chama cha kuimarisha uchumi na kuboresha maisha ya watanzania kabla ya sasa kugeuka kuwa chama cha kuhakikisha kuendelea kubaki madarakani kwa tabaka tawala.
Mbadiliko huu umekuja kutokana na nguvu mbalimbali za kimfumo na mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi duniani ambayo yamepelekea washika dau wa chama hiki ambao mwanzo walijitahidi kukabiliana vilivyo, kuamua kufuata mkondo wa mabadiliko ili kuweza kuendelea kuongoza taifa hili.
Mfano mkubwa wa mabadiliko haya nje ya mipaka yetu ni chama cha Labour cha Uingereza kinachoongozwa na mwanasiasa “kijana” machachari Tony Blair. Chama ambacho wiki iliyopita kilipata pigo kubwa la kisiasa kwa kupoteza viti vingi katika baraza la wanaojiita wawakilishi wa makabwela.
Kama ilivyokuwa CCM, chama hiki kilianzishwa kama kundi la kutetea wafanyakazi na makabwela wa Taifa hilo la kibwanyenye. Na mama ilivyo kwa vyama vingi vya aina hii duniani, chama cha Labour kama kilivyokuwa CCM hapo awali, kilikuwa ni chama kinachoendeshwa na misingi na falsafa madhubuti za kutetea wanyonge.
Falsafa na misingi ambayo walijiwekea ili kila anayetaka kuchaguliwa kukiongoza chama hicho na hivyo kugombea nafasi ya kuongoza serikali ya Uingereza alipaswa kuonyesha wazi kuwa ni mfuasi makini na mwaminifu wa misingi hiyo kwa kauli thabiti na vitendo.
Mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi duniani yalikipelekea chama hicho kukosa mvuto wa kuaminiwa na wapiga kura wengi na hivyo kuwekwa kando katika kuingoza Uingereza kwa miaka kadhaa.
Hali hiyo iliwapelekea kundi dogo la wanasiasa vijana machachari wa chama hicho akiwemo bwana.. Mandelson ambaye aliwahi kuishi Musoma, Tanzania kwa miaka kadhaa akitafiti siasa ya ujama na kujitegemea na utaalamu wa kiuongozi wa baba wa Taifa, kuja na mbinu mpya walioita LABOUR MPYA.
Tofauti na Labour ya kihistoria, New Labour kama ilivyo CCM hivi sasa, ililenga matumizi ya siasa za kubabaisha zilizo tofauti na misingi na falsafa asilia ya chama hicho ili kuweza kuwalaghai wapiga kura waliokitupa, kukichagua na kukirudisha madarakani.
Kwao wao ni kuwa mara baada ya kurudi madarakani wangeweza kuzirejesha siasa makini za kihistoria za chama hicho na hivyo kuendeleza misingi na falsafa zake asilia kwa mtindo unaoendana na wakati uliopo.
Kama hapo baadae ilivyokuwa kwa upande wa wahafidhina wa chama cha Republican cha Marekani walipomchagua George W Bush kuwauzia fikira zao za kulinda nafasi ya ubabe wa marekani duniani, Mandelson na wenzake waliamua kumchagua mwanasiasa machachari aliyekuwa akikubalika wakati huo yaani Tony Blair kuongoza mpango huo.
Matokeo yake ni hali inayonekana hivi sasa huko Uingereza. Sio tu chama hicho kimegeuka kuwa cha kinyang’au zaidi kuliko chama cha mahafidhina wa kijadi cha Conservative, hivi sasa kinaelekea kaburini kwa mwendo wa kasi mno. Kitu pekee kinachowezesha wao kuwa madarakani hadi hivi leo sio uhalali wa kidhati kutoka kwa wananchi isipokuwa propaganda za kuwapumbaza wapiga kura. Propaganda zinazolenga kuwaweka mateka Waingereza walio wengi kwa kutumia dhana ya kuwa hakuna mwengine mwenye mvuto kama yeye anayeweza kuwalinda waingereza kwa madhila makubwa zidi kutoka kwa chama cha wahafidhina.
Ukiangalia mlolongo mzima wa historia ya chama cha Labour ni wazi kuwa kuna mambo yanayoshabihiana na hali inayojikita ndani ya chama cha mapinduzi.
Hapo zamani hata baada ya kuruhusu siasa za vyama vingi chama cha mapinduzi kilikuwa ni chama kilichokuwa kinapata wafuasi wengi kutokana na hali ya kuwa wengi wa wananchi hawa walikuwa wakijinasabisha na misingi na falsafa za chama hicho.
Hata kama wengi walikuwa wakikatishwa tamaa na matendo ya viongozi walio wengi wa chama hicho ambayo ni tofauti na sura yake asili, kuwepo kwa umakini wa kimaamuzi haswa yale makubwa kama vile mtiririko mzima wa kubadilishana madaraka kuliwapa faraja wanachi wengi waliokuwa wanaendelea kukata tamaa.
Hili na lile la kuwepo kwa baadhi ya viongozi wachache ambao tofauti na walio wengi, kauli zao na matendo yao yenye kuonyesha kuendelea kwao kuamini misingi na falsafa asilia za chama hicho, kuliwapa moyo wa matumaini watanzania walio wengi, wanachama na wasio wanachama.
Hali hii iliweza kuwazuia wanachama waaminifu wa chama hicho vijana kwa wazee, wenye sifa za umakini wa hali ya juu kutokisusa ama kutohama chama hicho kwa muda mrefu sasa. Wengi hawa walikuwa bado wakiamini kuwa ipo siku chama hiki kitapata uongozi imara na makini utakaowezesha kurudisha chama na nchi yetu katika mstari ulionyooka na kuachana na siasa za sera za kukurupuka kwa minajili ya kuwalaghai wapiga kura tu. Ndio maana hata hivi karibuni tulipokuwa tukishuhudia siasa chafu za kupindukia mipaka ya utanzania na ubinadamu kwa ujumla, bado walikuwepo waliukuwa wakiamini kuwa mwishoni busara za uongozi wa chama hicho zingesimama na kurekebisha mambo.
Hata hivyo hilo halikutuokea na waliukuwa wakiaminiwa kwa kazi hiyo ama walinyamaza kimya, walinyamazishwa au waliamua kukubali yaishe na kubariki siasa chafu zenye kukiuka misingi madhubuti ya chama hicho kutawala maamuzi ya vikao vyake vikuu.
Yote yanaweza kufumbiwa macho lakini kitendo cha Mwenyekiti wa chama hicho kuamua kuzuia taarifa ya siri ya sekretarieti ya maadili ya chama hicho iliyokuwa ikielezea vigezo vya kimaadili vya wagombea wote kuzungumziwa na wanakamati kuu ni kosa kubwa la kihistoria.
Maelezo kuwa wote wametoa rushwa hivyo wote sawa, kwa kweli ni upuuzi wa hali ya juu ambao kamwe hakuna aliyefikiri kuna siku mwenyekiti wa chama hicho anaweza akaufanya (sasa tunajua ni kwa nini).Hata kama historia na tafiti mbalimbali zinaonyesha wazi kuwa chama hiki kimekuwa kikumbatia rushwa na kiongozi wake kuishia kutoa vitisho vya mdomo tu, lakini inapofika mkuu huyo anahalalisha uchafu huo ambao ni tofauti na nguzo kuu asili za chama hicho ati kwa kuepusha kubomoka kwa chama, ni wazi safari ya mwisho imewadia.
Lingine ni lile la kuruhusu wanakamati kuu ambao wengine ni viongozi waandamizi bila ya aibu kutumia siasa ya ubaguzi ndani ya vikao vikuu kama hivyo. Pale wahuni kadhaa walipokuwa wakitumia siasa haramu na chafu kama hizo kwenye vyombo mbalimbali vya habari, halali na haramu, baadhi ya watanzania makini ambao ndio walikuwa ngome ya mwisho wa chama hiki waliweza kuelewa na kuvumilia.
Lakini pale anapokuja mtu mkubwa kama Waziri mwandamizi akasimama akipinga kuchaguliwa kwa fulani kwa kuwa amezaliwa akiwa na mchanganyo wa kabila au rangi fulani, na wakubwa hao wakapigia makofi, kunyamaza au mwenyekiti akahalalisha jambo hilo kama ni demokrasia, kwa kweli hiyo ni ishara mbaya mno.
Vilevile ni dalili mbaya pale wakuu wa chama hicho na haswa wazee wa busara waliokuwa katika makuzi ya siasa asilia za chama hicho na wengine kushiriki katika ujenzi wake wanapokuwa tayari kuweka kando maslahi ya watanzania kwa ujumla na kujali ushindi wa chama tu kama dira yao kuu ya kufanya maamuzi.
Ushindi ambao kwao wao ni muhimu tu kutokana na uhakikisho wa kuwa wao na vizazi vyao vitaendelea kuwa madarakani daima milele hata kama ishara zinaonyesha kupotea kabisa kwa utaifa wetu ambao ndio umekuwa nguzo yetu muhimu kama nchi na jamii staarabu.
Kwa ujumla ingawa wengi wanaamini kuwa chama cha mapinduzi kimeweza kuvuka mtihani mkubwa kwa ushindi, ni wazi kuwa ushindi huo unaendana na kujisimika rasmi kwa siasa mpya zisizojali misingi na falsafa asilia za chama hicho ambazo kwa kweli ndizo zimekuwa nguzo kuu za kuendelea kwa uimara wake wakati wote huu.
Siasa hizi mpya ambazo zinalenga wingi wa kura tu na sio mipango madhubuti ya muda mrefu yenye kulenga kustawisha jamii kwa mapana na marefu daima haziwezi kuifanya CCM kuendelea kuwa chama cheney mvuto asili ambo hata kama mambo hayaenda sawa wananchi wataendelea kukiamini na kikihamini.
Siasa hizi zinazofuata mbinu za soko huria ambazo zinalenga kumnadi mtu kama bidhaa nyingine sokoni zinafanya chama hicho kutegemea uhalali wa umaarufu wa mwanasiasa huyo tu na sio mapenzi na imani juu ya chama hicho.
Bahati mbaya umaarufu huu unajengwa na matarajio hewa ndani ya mioyo ya wananchi, ambayo ama kwa mapungufu ya kiutendaji ya mwanasiasa huyo au ya kimfumo ni vigumu kuyafanikisha.
Hivyo basi kukifanya chama hicho kuwa mateka wa mwanasiasa huyo na wajanja wachache waliomzunguka wanye uwezo wa kucheza na akili za wapiga kura kwa muda Fulani tu.
Hawa huwezesha hilo kwa kutumia mbinu mbalimbali za kihadaa ambazo daima huishia ama kuvuruga jamii au kuchokwa na wapiga kura.
Wapo wanaofikiri kuwa kupatikana kwa mgombea na baadaye kiongozi mwenye mvuto kama aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa ni silaha muhimu ya kuhakikisha uimara wa chama hiki.
Mimi nasema ndio lakini ni kwa muda mfupi tu na hiyo hiyo ndiyo silaha ya kujiangamiza kwa muda mrefu.
Ni dhahirikuwa ushindi uliopatikana Dodoma hivi karibuni ni mwanzo wa safari isiyo rasmi ya mwisho ya chama cha mapinduzi.
Ni ukweli usiopingika kuwa matokeo ya uchaguzi wa mgombea wa nafasi ya urais katika Chama Cha Mapinduzi yameweza kuliepusha kundi hili kisiasa katika hatari ya kugawanyika kwa kasi kama ilivyokuwa ikionekana awali.
Naongelea dhana ya kugawanyika kwa kasi tu, kwa kuwa nina uhakika kuwa mwenendo mzima wa siasa za uchaguzi huo na mambo kadhaa yaliyojitokeza katika siku za mwisho za shughuli hizo ndani ya chama hicho, zimeleta mgawanyiko mkubwa na wa hatari zaidi utakaodumu daima.
Hata kama kwa njia za ajabu mno ndugu hawa wameweza kumchagua mtu ambaye kwa maoni yao wana uhakika wa kuendelea kutawala watazania kwa miongo kadhaa ijayo.
Ni wazi kuwa CCM ya sasa si ile tena iliyokuwa ikiwavutia watu kwa utulivu wake, uongozi wa kufuata maadili ya utanzania, falsafa zake zenye kujali utu, kupinga ubaguzi na mengineyo mengi mazuri yaliyokuwa yakitofautisha chama hiki na makundi mengine ya kisiasa.
Chama cha mapinduzi kama ilivyo kwa vyama vingine vikubwa tawala barani afrika, kimepitia mabadiliko mbalimbali hadi kufikia sasa.Mabadiliko hayo yameanzia kutoka kuwa chama cha ukombozi, kikaja kuwa chama cha kujenga utaifa na baadaye kuwa chama cha kuimarisha uchumi na kuboresha maisha ya watanzania kabla ya sasa kugeuka kuwa chama cha kuhakikisha kuendelea kubaki madarakani kwa tabaka tawala.
Mbadiliko huu umekuja kutokana na nguvu mbalimbali za kimfumo na mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi duniani ambayo yamepelekea washika dau wa chama hiki ambao mwanzo walijitahidi kukabiliana vilivyo, kuamua kufuata mkondo wa mabadiliko ili kuweza kuendelea kuongoza taifa hili.
Mfano mkubwa wa mabadiliko haya nje ya mipaka yetu ni chama cha Labour cha Uingereza kinachoongozwa na mwanasiasa “kijana” machachari Tony Blair. Chama ambacho wiki iliyopita kilipata pigo kubwa la kisiasa kwa kupoteza viti vingi katika baraza la wanaojiita wawakilishi wa makabwela.
Kama ilivyokuwa CCM, chama hiki kilianzishwa kama kundi la kutetea wafanyakazi na makabwela wa Taifa hilo la kibwanyenye. Na mama ilivyo kwa vyama vingi vya aina hii duniani, chama cha Labour kama kilivyokuwa CCM hapo awali, kilikuwa ni chama kinachoendeshwa na misingi na falsafa madhubuti za kutetea wanyonge.
Falsafa na misingi ambayo walijiwekea ili kila anayetaka kuchaguliwa kukiongoza chama hicho na hivyo kugombea nafasi ya kuongoza serikali ya Uingereza alipaswa kuonyesha wazi kuwa ni mfuasi makini na mwaminifu wa misingi hiyo kwa kauli thabiti na vitendo.
Mabadiliko ya kisiasa na kiuchumi duniani yalikipelekea chama hicho kukosa mvuto wa kuaminiwa na wapiga kura wengi na hivyo kuwekwa kando katika kuingoza Uingereza kwa miaka kadhaa.
Hali hiyo iliwapelekea kundi dogo la wanasiasa vijana machachari wa chama hicho akiwemo bwana.. Mandelson ambaye aliwahi kuishi Musoma, Tanzania kwa miaka kadhaa akitafiti siasa ya ujama na kujitegemea na utaalamu wa kiuongozi wa baba wa Taifa, kuja na mbinu mpya walioita LABOUR MPYA.
Tofauti na Labour ya kihistoria, New Labour kama ilivyo CCM hivi sasa, ililenga matumizi ya siasa za kubabaisha zilizo tofauti na misingi na falsafa asilia ya chama hicho ili kuweza kuwalaghai wapiga kura waliokitupa, kukichagua na kukirudisha madarakani.
Kwao wao ni kuwa mara baada ya kurudi madarakani wangeweza kuzirejesha siasa makini za kihistoria za chama hicho na hivyo kuendeleza misingi na falsafa zake asilia kwa mtindo unaoendana na wakati uliopo.
Kama hapo baadae ilivyokuwa kwa upande wa wahafidhina wa chama cha Republican cha Marekani walipomchagua George W Bush kuwauzia fikira zao za kulinda nafasi ya ubabe wa marekani duniani, Mandelson na wenzake waliamua kumchagua mwanasiasa machachari aliyekuwa akikubalika wakati huo yaani Tony Blair kuongoza mpango huo.
Matokeo yake ni hali inayonekana hivi sasa huko Uingereza. Sio tu chama hicho kimegeuka kuwa cha kinyang’au zaidi kuliko chama cha mahafidhina wa kijadi cha Conservative, hivi sasa kinaelekea kaburini kwa mwendo wa kasi mno. Kitu pekee kinachowezesha wao kuwa madarakani hadi hivi leo sio uhalali wa kidhati kutoka kwa wananchi isipokuwa propaganda za kuwapumbaza wapiga kura. Propaganda zinazolenga kuwaweka mateka Waingereza walio wengi kwa kutumia dhana ya kuwa hakuna mwengine mwenye mvuto kama yeye anayeweza kuwalinda waingereza kwa madhila makubwa zidi kutoka kwa chama cha wahafidhina.
Ukiangalia mlolongo mzima wa historia ya chama cha Labour ni wazi kuwa kuna mambo yanayoshabihiana na hali inayojikita ndani ya chama cha mapinduzi.
Hapo zamani hata baada ya kuruhusu siasa za vyama vingi chama cha mapinduzi kilikuwa ni chama kilichokuwa kinapata wafuasi wengi kutokana na hali ya kuwa wengi wa wananchi hawa walikuwa wakijinasabisha na misingi na falsafa za chama hicho.
Hata kama wengi walikuwa wakikatishwa tamaa na matendo ya viongozi walio wengi wa chama hicho ambayo ni tofauti na sura yake asili, kuwepo kwa umakini wa kimaamuzi haswa yale makubwa kama vile mtiririko mzima wa kubadilishana madaraka kuliwapa faraja wanachi wengi waliokuwa wanaendelea kukata tamaa.
Hili na lile la kuwepo kwa baadhi ya viongozi wachache ambao tofauti na walio wengi, kauli zao na matendo yao yenye kuonyesha kuendelea kwao kuamini misingi na falsafa asilia za chama hicho, kuliwapa moyo wa matumaini watanzania walio wengi, wanachama na wasio wanachama.
Hali hii iliweza kuwazuia wanachama waaminifu wa chama hicho vijana kwa wazee, wenye sifa za umakini wa hali ya juu kutokisusa ama kutohama chama hicho kwa muda mrefu sasa. Wengi hawa walikuwa bado wakiamini kuwa ipo siku chama hiki kitapata uongozi imara na makini utakaowezesha kurudisha chama na nchi yetu katika mstari ulionyooka na kuachana na siasa za sera za kukurupuka kwa minajili ya kuwalaghai wapiga kura tu. Ndio maana hata hivi karibuni tulipokuwa tukishuhudia siasa chafu za kupindukia mipaka ya utanzania na ubinadamu kwa ujumla, bado walikuwepo waliukuwa wakiamini kuwa mwishoni busara za uongozi wa chama hicho zingesimama na kurekebisha mambo.
Hata hivyo hilo halikutuokea na waliukuwa wakiaminiwa kwa kazi hiyo ama walinyamaza kimya, walinyamazishwa au waliamua kukubali yaishe na kubariki siasa chafu zenye kukiuka misingi madhubuti ya chama hicho kutawala maamuzi ya vikao vyake vikuu.
Yote yanaweza kufumbiwa macho lakini kitendo cha Mwenyekiti wa chama hicho kuamua kuzuia taarifa ya siri ya sekretarieti ya maadili ya chama hicho iliyokuwa ikielezea vigezo vya kimaadili vya wagombea wote kuzungumziwa na wanakamati kuu ni kosa kubwa la kihistoria.
Maelezo kuwa wote wametoa rushwa hivyo wote sawa, kwa kweli ni upuuzi wa hali ya juu ambao kamwe hakuna aliyefikiri kuna siku mwenyekiti wa chama hicho anaweza akaufanya (sasa tunajua ni kwa nini).Hata kama historia na tafiti mbalimbali zinaonyesha wazi kuwa chama hiki kimekuwa kikumbatia rushwa na kiongozi wake kuishia kutoa vitisho vya mdomo tu, lakini inapofika mkuu huyo anahalalisha uchafu huo ambao ni tofauti na nguzo kuu asili za chama hicho ati kwa kuepusha kubomoka kwa chama, ni wazi safari ya mwisho imewadia.
Lingine ni lile la kuruhusu wanakamati kuu ambao wengine ni viongozi waandamizi bila ya aibu kutumia siasa ya ubaguzi ndani ya vikao vikuu kama hivyo. Pale wahuni kadhaa walipokuwa wakitumia siasa haramu na chafu kama hizo kwenye vyombo mbalimbali vya habari, halali na haramu, baadhi ya watanzania makini ambao ndio walikuwa ngome ya mwisho wa chama hiki waliweza kuelewa na kuvumilia.
Lakini pale anapokuja mtu mkubwa kama Waziri mwandamizi akasimama akipinga kuchaguliwa kwa fulani kwa kuwa amezaliwa akiwa na mchanganyo wa kabila au rangi fulani, na wakubwa hao wakapigia makofi, kunyamaza au mwenyekiti akahalalisha jambo hilo kama ni demokrasia, kwa kweli hiyo ni ishara mbaya mno.
Vilevile ni dalili mbaya pale wakuu wa chama hicho na haswa wazee wa busara waliokuwa katika makuzi ya siasa asilia za chama hicho na wengine kushiriki katika ujenzi wake wanapokuwa tayari kuweka kando maslahi ya watanzania kwa ujumla na kujali ushindi wa chama tu kama dira yao kuu ya kufanya maamuzi.
Ushindi ambao kwao wao ni muhimu tu kutokana na uhakikisho wa kuwa wao na vizazi vyao vitaendelea kuwa madarakani daima milele hata kama ishara zinaonyesha kupotea kabisa kwa utaifa wetu ambao ndio umekuwa nguzo yetu muhimu kama nchi na jamii staarabu.
Kwa ujumla ingawa wengi wanaamini kuwa chama cha mapinduzi kimeweza kuvuka mtihani mkubwa kwa ushindi, ni wazi kuwa ushindi huo unaendana na kujisimika rasmi kwa siasa mpya zisizojali misingi na falsafa asilia za chama hicho ambazo kwa kweli ndizo zimekuwa nguzo kuu za kuendelea kwa uimara wake wakati wote huu.
Siasa hizi mpya ambazo zinalenga wingi wa kura tu na sio mipango madhubuti ya muda mrefu yenye kulenga kustawisha jamii kwa mapana na marefu daima haziwezi kuifanya CCM kuendelea kuwa chama cheney mvuto asili ambo hata kama mambo hayaenda sawa wananchi wataendelea kukiamini na kikihamini.
Siasa hizi zinazofuata mbinu za soko huria ambazo zinalenga kumnadi mtu kama bidhaa nyingine sokoni zinafanya chama hicho kutegemea uhalali wa umaarufu wa mwanasiasa huyo tu na sio mapenzi na imani juu ya chama hicho.
Bahati mbaya umaarufu huu unajengwa na matarajio hewa ndani ya mioyo ya wananchi, ambayo ama kwa mapungufu ya kiutendaji ya mwanasiasa huyo au ya kimfumo ni vigumu kuyafanikisha.
Hivyo basi kukifanya chama hicho kuwa mateka wa mwanasiasa huyo na wajanja wachache waliomzunguka wanye uwezo wa kucheza na akili za wapiga kura kwa muda Fulani tu.
Hawa huwezesha hilo kwa kutumia mbinu mbalimbali za kihadaa ambazo daima huishia ama kuvuruga jamii au kuchokwa na wapiga kura.
Wapo wanaofikiri kuwa kupatikana kwa mgombea na baadaye kiongozi mwenye mvuto kama aliyechaguliwa hivi karibuni kuwa ni silaha muhimu ya kuhakikisha uimara wa chama hiki.
Mimi nasema ndio lakini ni kwa muda mfupi tu na hiyo hiyo ndiyo silaha ya kujiangamiza kwa muda mrefu.
Ni dhahirikuwa ushindi uliopatikana Dodoma hivi karibuni ni mwanzo wa safari isiyo rasmi ya mwisho ya chama cha mapinduzi.
Subscribe to:
Posts (Atom)
